Jeshi la Polisi lapewa siku 90 kuhakikisha mitambo ya LUGUMI inafanya kazi vituo vyote

Jeshi la Polisi lapewa siku 90 kuhakikisha mitambo ya LUGUMI inafanya kazi vituo vyote

Hivi kweli kampuni inalipwa zaidi ya asilimia 90, bila kutekeleza mkataba kikamilifu, inatokea sintofaham, zinafanyika figisu figisu hizo taarifa zinakandamizwa au kutokupewa kipaumbele, kisha chombo kibachoheshimika kinajitokeza bila aibu kuagiza hiyo kampuni itekeleze mkataba ndani ya miezi mitatu, haiingii akilini.

Naomba niishie hapa nikiongea sana mtanichangia millioni 7 au ntafungwa.
Na wale wa ndio watalalamikia adhabu ndogo
 
ii kidogo imeleta simanzi kwa wale waliokuwa wanaamini kwenye Tanzania mpya.
 
Kuna majipu yameota kwenye utosi hayatumbuliki ni kumeza tu antibiotic yayeyuke yenyewe.
 
ii kidogo imeleta simanzi kwa wale waliokuwa wanaamini kwenye Tanzania mpya.
Wengine tuliwaonya, mtapata maradhi ya Moyo

CCM ni ile ile, watu ni wale wale na mbinu ni zile.
Njia iliyotumika si ya kwanza, imetumika kwenye kashfa nyingine na hawa hawa CCM na serikali yao
Ni wazoefu wa kuficha maovu na kudhani wataibadilisha hii nchi ni kutafuta maradhi ya moyo bure
 
Kilichofanyika ni kumvika nguo mfalme aliyeonekana uxhi tayari. Sijui kwa nini wabunge wa ccm hushiriki dhambi ya jumla kiasi hiki!
 
Lugumi wanamchafua Magufuli! Kikwete aende mahakamani ndo anajua Lugumi! hasimpe kazi ngumu magufuli @ akigeuka uku hewa uku hewa uku hewa! pia Wabunge wa ccm ambao wamenyamazia Lugumi Wasirudi bungeni 2020 hawaisimamii serikali wanasimamia chama!!!!
 
Eeh Mungu wangu. Nimegundua kwa nini vikundi vya kigaidi hujitokeza, nimegundua ni kwanini yule kijana wa Kiarabu alijichoma Moto mbele ya ofisi za Serikali, nimegundua ni kwa nini mtiifu wa ccm anaweza kujiunga Chadema, nimegundua kwa nini anataka aombewe. Jamani issue ya Lugumi ndo imeisha hivi hivi bila mtu kutiwa hatiani!!!?? Kweli? Nchi inaenda wapi? Mbona sioni tofauti ya JK na JPM? Mungu bora uiangamize Taifa hili tujue moja. Izame kama gharika.
Mkuu tofauti ni K na PM ila hao wote ni J.
 
Kuna watu hata hawafikiri na kuweka taifa mbele! Pesa zimeliwa kifisadi watu wanasafishwa kun watu kweli wenye akili zao wanashabikia eti wamefumbwa midomo! Pia NS anafanya anayofanya kw faida ya nani? Unafiki hata kwa Mungu atawalaani !! Nchi inaliwa kodi zetu zinauma sana! Hatupati huduma za lazima kuna watu 5 tu wamechukua bil 37! Leo watu wanashangilia kweli watanzan tunajielewa kweli? JPM amesema atawalinda wastaafu na mizigo yao ataibeba
Naibu Spika amepokea lini Ripoti ya Kamati na ripoti kujadiliwa? Ama kweli...

Mzee Tupatupa
 
Ni vigumu kutatua tatizo ungali sehemu ya tatizo!
Ukitaka kutatua tatizo sharti ujitenge na tatizo kwanza.
Hii ni kanuni.
 
Ni vigumu kutatua tatizo ungali sehemu ya tatizo!
Ukitaka kutatua tatizo sharti ujitenge na tatizo kwanza.
Hii ni kanuni.
Kama usivyoweza kusukuma basi ukiwa ndani ya basi hilohilo
 
Hivi huo mradi haukuwa na mkataba na time lines? Mtu akishindwa ku deliver in time hakukuwa na penalties? Ndo unamwambia hakikisha unamaliza basi, kirahisi hivyo. Na je kama CAG asingegundua hilo si ndio ilikuwa imetoka hiyo au? Hakika njia ni nyembamba iendayo uzimani.
 
Halafu wanatuambia na kutusisitizia kuwa tuwe wazalendo KULIPA KODI ?......kweli tuwakusanyie Mafisadi jasho letu na mambo yapelekwe kama hili la Lugum.....i?
 
Wamefungwa midomo sasa. Safi sana
.
Mkuu, vipi kuhusu Lugumi kulipwa 98% malipo yote wakati kazi haijakamilika? Hilo watalifukia vipi?

Tata Madiba, siku hizi umeweka kandi2u GT, au umelambishwa ulua?

Vv
 
Back
Top Bottom