Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Ingetokea mtu akaamua kuwagonga na gari wote hao akiamini ni watekaji kwa kumkamata mtuhumiwa kwa mazingira hayo mngesemaje juzi tu hapa dereva wa TRA alipigwa hadi kufa ninyi bado hamjifunzi tu mnadhani Smg moja inaweza kuwatuloza watu wenye hasira kali jifunzeni kukamata watu kwa weledi ya taaluma yenu.
Jaribu kufanya hivyo uone shughuli yake na ujute kuzaliwa. Acheni kulea na kutetea wahalifu.
 
Ingetokea mtu akaamua kuwagonga na gari wote hao akiamini ni watekaji kwa kumkamata mtuhumiwa kwa mazingira hayo mngesemaje juzi tu hapa dereva wa TRA alipigwa hadi kufa ninyi bado hamjifunzi tu mnadhani Smg moja inaweza kuwatuloza watu wenye hasira kali jifunzeni kukamata watu kwa weledi ya taaluma yenu.
Tangiapo walimteka sema aliyerecord ndiyo kawaharibia
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354
Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
huu ni utekaj , wamejitokeza ili kututuliza , je kwann walitishia umma?
 
Hii habari ipelekwe jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko, hapa sio mahali pake.

JamiiForums , Mhariri, Moderator
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354
Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
i
 
Tena wananchi wange wasaidia kumdhibiti, pia kama wangefanya hivyo ingewapa wananchi imani kubwa kwa polisi. Je wakija wahuni wengine kumchukua mtu kwa njia ile ya kihuni wananchi watatofautije ukamataji wa polisi na unyakuaji wa wahuni?
Saidia mtu unayemjua
Mfano huyo angesema natekwa halafu wananchi hawamjui wakawashambulia na kuua hao polisi unajua nini kingewapata hao wananchi baadaye huyo mtu wakiambiwa alikuwa jambazi wakimkimbiza

Wao watahesabika sehemu ya huyo jambazi na kupewa kesi ya mauaji ya kuua polisi

Njia nzuri kwenye hilo ni kupiga simu polisi au kuripoti kituo cha polisi cha karibu au kwa mjumbe au kiongozi wa mtas hsraka haraka sana kwa simu au bodaboda anakimbia haraka kuripoti

Usichukue sheria mkononi hata apige kelele anatekwa
 
Is that a way of handling a criminal? Askari anapaswa kufanya kazi kwa weledi na kwa uangalifu sana.

Ukamataji ulifanyika kienyeji bila kuonesha ujuzi wa kitaaluma.
Ilikuwa ni purukushani za kishamba zilizodhaniwa kufanywa na watu wasio na ujuzi wa kazi za kiusalama.

Imagine raia wangeamua kuingilia kati varangati ingekuwaje?

Askari hata akiwa kiraia ( askari kanzu) Kuna picha na ujumbe lazima auneshe na kuutuma kwa hadhira Ili kujibu sintofahamu.

Wajifunze kuwa smart katika kazi zao.
Kamata zingine hazihitaji uweledi
Unaweza kuta huyo kasakwa wamemkosakosa

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354
Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
kwa nini msivae sare za polisi? hata hivyo tunashukuru kwamba mmekiri mnaye, hivyo hataokotwa amekufa. mpo naye.
 
Ulitaka abembelezwe?
unajua taratibu za kumshika mharifu ? hv raia watajuaje kama ni polisi na sio majambaz , Afrika ina viongoz wabovu na nyiny ndo mnawalea hlf lawama mnawapa wazungu , km tuna taratibu zipo na watumish hawafuati na raia mnawasifia kwa kutofuata taratibu kisa anaetendewa sio ww bas ni haki Unapoona matatizo yenu usianze wahusisha wazungu
 
Weledi wa polisi ni zero kabisa.kama ni mhalifu wangesema kabisa kuwa wao ni polisi wa kituo Fulani ili kuondoa taharuki.Na wawe wanavaa ngua zao rasm.wanaukamataji wa kishamba sana
Huyo atakuwa wanted
Labda na mtu wa matukio

Ova
 
Kamata zingine hazihitaji uweledi
Unaweza kuta huyo kasakwa wamemkosakosa

Ova
Na aliwakimbia polisi. Mimi sijawahi kuwa na huruma na wahalifu. Kama una huruma na wahalifu basi subiri siku yakupate.kwa hakika utawalaani Maisha yako yote.
 
Wapo sahihi kabisa na ninashangaa kwanini hawakuwa na kirungu cha kumregeza Miguu wakati analeta ubishi wake wa kukamatwa. Tii sheria bila shuruti. Nawachukia sana wahalifu na waporaji. Embu fikiria wewe uhangaike kwa jasho lako kutafuta mali fulani au kitu fulani halafu mtu anakuja anakuibia? Utajisikiaje? Mimi nasema walimkamata kistaarabu sana.

Ungewatofautishaje hao Askari na watekaji?
 
Back
Top Bottom