Kwa hiyo Mwenyekiti wa Ccm alipokuwa anaongea na waadishi huko Chato ilikuwa sio mkusanyiko?
Mjomba si ufiche ujinga kidogo,mbowe yuko dar kwa ajili ya kesi na karantin yao iliisha janaMbowe ni msanii tu.......alishajua atakamatwa na polisi kufuatia lile agizo la RC Makonda.
Kama kweli angekuwa na hoja za kuongea mkutano angeufanyia Dodoma!
Mbowe anaihujumu Chadema ili ipoteze ushawishi na yeye aendelee kuimiliki kama chama cha " mfukoni" namna ilivyo UDP na TLP!
Ilikuwa ni kwa njia ya mtandaoKweli kama alikuwa na intention ya kutupatia ujumbe wowote ule wenye tija angetumia hata mitandao kufikisha ujumbe wake. Kwa nyakati hizi kwenda kwenye public places kutoa ujumbe ni kitu kigumu sana.
Wee,,,,karantini wameshamaliza,dar ni mahakamani,,lingineeeHuyu Mbowe si alisema yupo karantini Dodoma?Spika Ndugai yupo sahihi hatuwezi kulipa matapeli wa kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mataga bwana!!!Alitaka kusababisha mikusanyiko hatari kwa corona si ndiyo?
Oh myUsimfananishe Rais na na mwenyekiti wa sacos
Huu sii muda wa siasa
Sheria, sheria mpaka lini? Ilipotungwa ilielewa kuna Corona? Ni mtu mzembe tu ndo anahitaji kufanya mkutano enzi hizi za Webex, Zoom, youtube, nk. Hawezi kusema yake kupitia mitandao? Ni mzembe!Hakuna sheria inayozuia mkutano wa kisiasa
Huo ni usanii wa Serikali inayoogopa kwa kuwa imechokwa
Mwenyekiti wa ccm alipoongea na waandishi huko chato naye ni mzembe?Sheria, sheria mpaka lini? Ilipotungwa ilielewa kuna Corona? Ni mtu mzembe tu ndo anahitaji kufanya mkutano enzi hizi za Webex, Zoom, youtube, nk. Hawezi kusema yake kupitia mitandao? Ni mzembe!
Mbona kichwa cha habari ni tofauti na habari yenyeweMkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.
Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pambaMkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.
Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.
Akapimwe covid 19 kwanza. Pia Kama karantini imeisha aende bungeni IdodomyaMkutano wa M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara hii leo Mei 14, 2020 kwa lengo la kuzungumza na umma, hautafanyika kwa kuwa Mbowe ametakiwa kuripoti katika kituo cha Polisi cha Oyster Bay.
Mkutano huu umehairishwa baada ya Mkiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe wakati akijiandaa kuelekea kuanza mkutano huo, alipokea wito wa Jeshi la Polisi nchini kumtaka akaripoti Kituo cha Polisi, Polisi hawakusema sababu ya wito huo. Mhe. Mbowe ameambatana na wakili.