Jeshi la Polisi liendelee kuwakamata wote wenye kuleta maneno ya Uchochezi na kuwatupa Ndani kwa mahojiano

Hakuna chama chenye ubavu wala uwezo wa kushindana na CCM Katika sanduku la kura.Hajuna chama pia kinachoweza kuchukua nafasi ya CCM hapa nchini.
 
JPM mlimtukana wanaccm akiwa hai hadi sasa akiwa hayati bado mnaendelea kumbagaza hamkukamatwa uchawa wako usio na utu utaulipia gharama kubwa
 
Limkamate na mtoto wa samia atueleze ana cheo gani kwenye wizara ya madini?
 
Hio namba niya nn hapo?
 
Siku yakiwakuta nani atawasaidia? Ipo siku yatageuka pa, afu mtahama wote
 
Unasoma SHERIA ipi inayosea Mwananchi akitoa maoni yake akamatwe?

Na akikamatwa atashtakiwa Kwa kosa Gani?

Una kiwango Gani Cha Elimu?
Acha kukurupuka ndugu yangu ,soma uelewe kisichokubalika wala kuvumiliwa ni kuwaacha watu waliokosa adabu,staha na heshima wanapofungua midomo na vinywa vyao wawapo majukwaani na mbele ya camera. Hatuwezi kukubali mtu atumie kile kinachoitwa uhuru na demokrasia kutukana matusi,kuchochea vurugu na machafuko pamoja na kuleta ubaguzi hapa nchini. Hilo jambo halikubaliki mahali popote pale na katika Taifa lolote lile. Ni lazima watu kama akina Mdude na Mwabukusi waanze kuwajibishwa na kutupwa ndani kwa ajili ya mahojiano zaidi na ya kina .
 
Hamna case hapo, ni vitisho tu,

Na Bahati mbaya ni kuwa waliokamatwa wameshavuka viwango hivyo vya HOFU!!!
 
Siku yakiwakuta nani atawasaidia? Ipo siku yatageuka pa, afu mtahama wote
Tii sheria bila shuruti,.kosoa kwa lugha za kiungwana na siyo unatoa maneno machafu utafikiri umeopolewa chooni baada ya kuzidiwa na pombe kichwani uliyo kunywa na manjaa Tumboni.
 
Ahsante kwa post nzuri ya kuliponya Taifa letu. Washughulikiwe kisawasawa, km mapumbu yaminywe vya kutosha, watoke wakiwa hawana tena hata uwezo wa kumtongoza mwanamke, shenz shwain. Mtu unamtukana rais wetu? unatokwa mapovu mdomoni utafikiri kuna kitu umedhulumiwa, eti sis watanganyika, watanganyika labda wao na mama zao walioshindwa kuwafunza vizuri kuheshimu wakubwa. wakaozee huko jela hao ngedere
 
Mleta mada ulishawahi hata kwenda Nairobi ukaona wenzako maendeleo yao, au uko tuuu hapo mbezi beach unaamua kuwatete watu wenye akili ndogo
kahamie huko kenya, Kenya siyo nchi ya kuitolea mfano. umeona mitaa ya maskini wa Kenya. Usifananishe vitu visivyoendana, hatutaki siasa za hovyo km zile za Kenya.
 
Hilo jeshi la polisi ndio hutumika kusimamia wizi wa kura ili CCM iendelee kukaa madarakani kwa shuruti. Hivyo ni sahihi waendelee kukitetea chama walichokilinda kukaa madarakani kwa njia haramu.
km mna ushahidi mbona hamuendaki mahakamani? wazushi tu nyie tumewazoea
 
Unasoma SHERIA ipi inayosea Mwananchi akitoa maoni yake akamatwe?

Na akikamatwa atashtakiwa Kwa kosa Gani?

Una kiwango Gani Cha Elimu?
km matusi ni maoni, basi kamtukane mzazi wako halafu mwambie hayo ni maoni. Serikali siyo km nyie mazuzu majinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…