Jeshi la Polisi liendelee kuwakamata wote wenye kuleta maneno ya Uchochezi na kuwatupa Ndani kwa mahojiano

Jeshi la Polisi liendelee kuwakamata wote wenye kuleta maneno ya Uchochezi na kuwatupa Ndani kwa mahojiano

Nadhani nimeeleweka ,tuifanye nchi yetu sehemu ya amani, ni Bora kula kande huku tukiwa na amani ,kulikoni kula nyama utumwani,,polisi hakikisheni kila mwenye viashiria vya uhaini anakamatwa hata mwenye dalili za uhaini asiachwe ! Inchi iwe salama ,
 
Nadhani nimeeleweka ,tuifanye nchi yetu sehemu ya amani, ni Bora kula kande huku tukiwa na amani ,kulikoni kula nyama utumwani,,polisi hakikisheni kila mwenye viashiria vya uhaini anakamatwa hata mwenye dalili za uhaini asiachwe ! Inchi iwe salama ,
Rubbish from a rabid mind
 
Nadhani nimeeleweka ,tuifanye nchi yetu sehemu ya amani, ni Bora kula kande huku tukiwa na amani ,kulikoni kula nyama utumwani,,polisi hakikisheni kila mwenye viashiria vya uhaini anakamatwa hata mwenye dalili za uhaini asiachwe ! Inchi iwe salama ,

Naomba maana ya uhaini kulingana na kusema ukweli au uongo.
 
Kibaya zaidi na cha kuchekesha unaandika huku umejificha kwako na inatumia jina bandia,kama wewe mwanaume toka hadharani na hayo maneno yako ili ukione cha mtema kuni
Mimi sina haja ya kutumia jina langu hapa maana sitafuti cheo kama ww. Na isitoshe sijavunja sheria zozote za hili jukwaa kwa kutumia jina bandia.

Hakuna mabadiliko bila maumivu. Nyie mnaofaidika na huu Utawala wa majizi ya kura, huu ni muda wenu wa mwisho mwisho kutamba, kibao kitageuka hamtaamini macho yenu.
 
Serikali inatumia polisi kutishia raia
Nawakumbusha tu raia wengi wamekata tamaa na hawana cha kupoteza.
 
Soma ufahamu kwanini nimemjibu hivyo huyo ndugu yangu mtanzania
Mahakama ziko Kenya, hapa kuna majengo ya mahakama yaliyo chini ya Makada wa CCM. Labda ungemshauri aende kwenye mahakama za kimataifa, huko serikali huwa haishindi maana hakuna amri toka juu.
 
Nadhani nimeeleweka ,tuifanye nchi yetu sehemu ya amani, ni Bora kula kande huku tukiwa na amani ,kulikoni kula nyama utumwani,,polisi hakikisheni kila mwenye viashiria vya uhaini anakamatwa hata mwenye dalili za uhaini asiachwe ! Inchi iwe salama ,
Hahahaha

Mahakama imeshahukumu kwani?
 
Nadhani nimeeleweka ,tuifanye nchi yetu sehemu ya amani, ni Bora kula kande huku tukiwa na amani ,kulikoni kula nyama utumwani,,polisi hakikisheni kila mwenye viashiria vya uhaini anakamatwa hata mwenye dalili za uhaini asiachwe ! Inchi iwe salama ,
post nzuri sana, serikali iwe makini sana tulinde tunu yetu hii adhimu sana duniani namaanisha amani na upendo kwa watanzania.
 
Toka hadharani ukaandamane uone utakavyonyakuliwa kama kifaranga na kutupwa ndani. Siyo kujificha huku na kuandika porojo zako za kila siku
Ni kweli na hapo ndio jeuri yenu ndogo ilipo, hiyo mbeleko itakatika haina muda. Narudia tena, mapinduzi ya kijeshi ama machafuko ndio yataleta mabadiliko ya kweli ya kimfumo hapa nchini.
 
Ni bora watuuwe wtz wote kuliko kukubali mambo ya hovyo yanayofanywa na watawala wa awamu ya sita.mababu zetu wasingekubali kupigana na wakoloni weupe kwa kuogopa kufa hadi leo wazungu wangeendelea kuwepo.
 
Fresh from the Oven
Mwabukusi Spring
1691918561367-png.2716150
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nalipongeza jeshi la polisi kuanza kuchukua hatua za kuwakamata na kuwahoji wote wenye kutumia lugha za uchochezi, ubaguzi na zenye hatari ya kuligawa Taifa na kuleta machafuko na mpasuko nchini.

Japo naona ni kama hatua zinazoanza kuchukuliwa kwa sasa zilichelewa kidogo, hata hivyo ni jambo jema na imetupatia faraja na kutuliza mioyo yetu ambao tulikuwa tunaona hatari ya kauli zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya watu kwa kutumia vibaya uhuru wa demokrasia uliostawi hapa nchini pasipo kuchukuliwa hatua madhubuti.

Kila mtu ni lazima afahamu kuwa uhuru hauwezi kuwa kwa ajili ya kuwadhalilisha wengine, kuwavunjia heshima wengine,k umtukana na kumshambulia Mh. Rais kwa lugha zilizokosa hekima na adabu hata pasipo sababu. Ni lazima watu wazingatie sheria.

Kuwaacha watambe na matusi yao hadharani pasipo kuchukuliwa hatua ilikuwa ni kupanda mbegu mbaya, kuliweka Taifa katika hali ya hatari ya kuleta machafuko, mpasuko, ubaguzi, mgawanyiko na kuweka Rehani utulivu na amani ya Taifa letu.

Kilichokuwa kikiendelea hasa kutoka katika vinywa na midomo ya Viongozi wa CHADEMA ilikuwa siyo demokrasia wala uhuru wala ustaarabu wala ulikuwa hauwezi kukubalika katika Taifa lolote lile, bali ilikuwa ni uhuni, vurugu na hatari tupu kwa Taifa.

Hali ile haipaswi kuvumiliwa wala kuachiwa kuwa ni utamaduni au kawaida ya mtu kusimama jukwaani na kuanza kumtukana Rais,kutumia lugha za ubaguzi kwa misingi ya ukabila, ukanda, Udini na hata jinsia pamoja na kuhamasisha machafuko na chuki katika vifua vya Watanzania.

Kamwe tusikubali tena kuulea utamaduni uliotaka kuonekana kama kawaida, tusiwape nafasi wahuni na watu waliokosa adabu na malezi mazuri kutoka kwa wazazi wao wakaharibu amani na utulivu wa Taifa letu.

Jeshi la Polisi liendelea kwa kasi na nguvu kubwa kuwazoa na kuwahoji wote watakao endelea kutumia maneno yasiyo kubalika katika jamii yetu Kisheria na Kikatiba. Isikubalike na isitolewe nafasi ya watu kutumia vibaya uhuru uliopaliliwa na serikali yetu kupandikiza chuki miongoni mwao Watanzania.

Jeshi la polisi lisimuogope mtu au kikundi au chama wala kuogopa maneno ya watu au matamko ya watu au taasisi za kimataifa katika jambo linalogusa usalama wetu, maana ni sisi tutakao umia nchi ikipasuka na kupasuliwa na hawa wenye uroho wa madaraka.

Kamata wote tupa ndani kwa ajili ya mahojiano, msisikilize makelele wala nyaraka za vikundi vya wanaharakati kutoka mahali popote, maana ukikosa msimamo kiuongozi na watu wakijua kuwa huna msimamo na ni mtu wa kutetemeka na kutetereshwa lazima wakuyumbishee na kukufanyia kila aina ya vituko.

Sasa ni wakati wenu Jeshi la Polisi kusonga mbele bila hofu wala wasiwasi, ilimradi tu mnatekeleza majukumu yenu kwa mujibu wa sheria, kanuni, taratibu na katiba ya Nchi.

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Naunga mkono hoja 100% tumeshasema sana hapa JF, "sikio la kufa halisikii dawa" watu wanajifanya hawaelewi.

Nauomba na uongozi wa JF Maxence Melo na wengie wote, hususan @contents managers msijiingize kwenye mtego wa kuwacha JF iwe kijiwe cha uchochezi na lugha chafu kwa viongozi wetu.

Tafadhali angalieni sana contents za posts na msione haya kuzifuta posts zenye lugha chafu, hii ipo kwenye kanuni za JF.

Tujadiliane humu kwa hoja. Mimi naamini hakuna kiongozi, awe wa CCM au chadema au ACT au chama chochote kingine ambae watu wote watakubaliana nae. Tulumbane kwa hoja zenye kuweza kutuamsha bongo zetu na kutufanya tufanye tafiti, tukubaliane kutokukubaliana bila matusi wala lugha chafu.
 
kahamie huko kenya, Kenya siyo nchi ya kuitolea mfano. umeona mitaa ya maskini wa Kenya. Usifananishe vitu visivyoendana, hatutaki siasa za hovyo km zile za Kenya.
Wenzako wana akili siasa za kenya huwezi fananisha na siasa za bongo, maskini wapo dunia nzima, au hulijui hilo
 
Back
Top Bottom