Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi

Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi

Muda mfupi baada ya RC wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika mtandaoni kuwa kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua, Jeshi la Polisi limesema kama kweli ana hofu anatakiwa aende kutoa taarifa Kituo cha Polisi.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema: “Raia yeyote wa nchi hii ana haki ya kutoa taarifa Polisi kama ni kweli na ni jambo ‘serious’.

“Mimi sijaliona hilo tamko lake, najua watu ambao wapo serious wanaenda Polisi. Siwezi kushauri kuhusu hilo, watu unaowaongelewa wana weledi, wanajua taratibu, na ninajua wanajua, kwanza siamini, wana maarifa ya kutosha.

“Hao watu unaowazungumzia wana maarifa ya kutosha kujua wafanye nini, kama hana imani basi ofisi za Serikali zingefungwa, kama watu wanakwenda afu wewe unasema huna imani, mtu mmoja akisema hana imani lakini robo tatu wakienda na kupata huduma nani tumfuate hapo,” Muliro.


Source: CLOUDS FM

Pia soma:

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
Paul Makonda anatafuta tu kiki
 
Muda mfupi baada ya RC wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika mtandaoni kuwa kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua, Jeshi la Polisi limesema kama kweli ana hofu anatakiwa aende kutoa taarifa Kituo cha Polisi.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema: “Raia yeyote wa nchi hii ana haki ya kutoa taarifa Polisi kama ni kweli na ni jambo ‘serious’.

“Mimi sijaliona hilo tamko lake, najua watu ambao wapo serious wanaenda Polisi. Siwezi kushauri kuhusu hilo, watu unaowaongelewa wana weledi, wanajua taratibu, na ninajua wanajua, kwanza siamini, wana maarifa ya kutosha.

“Hao watu unaowazungumzia wana maarifa ya kutosha kujua wafanye nini, kama hana imani basi ofisi za Serikali zingefungwa, kama watu wanakwenda afu wewe unasema huna imani, mtu mmoja akisema hana imani lakini robo tatu wakienda na kupata huduma nani tumfuate hapo,” Muliro.


Source: CLOUDS FM

Pia soma:

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
huyu si alishiriki mpango wote wa kumuua tundu lissu na kumpiga risasi 16 na ushee? Kumbe nae anaogopa kufa
 
Muda mfupi baada ya RC wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika mtandaoni kuwa kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua, Jeshi la Polisi limesema kama kweli ana hofu anatakiwa aende kutoa taarifa Kituo cha Polisi.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema: “Raia yeyote wa nchi hii ana haki ya kutoa taarifa Polisi kama ni kweli na ni jambo ‘serious’.

“Mimi sijaliona hilo tamko lake, najua watu ambao wapo serious wanaenda Polisi. Siwezi kushauri kuhusu hilo, watu unaowaongelewa wana weledi, wanajua taratibu, na ninajua wanajua, kwanza siamini, wana maarifa ya kutosha.

“Hao watu unaowazungumzia wana maarifa ya kutosha kujua wafanye nini, kama hana imani basi ofisi za Serikali zingefungwa, kama watu wanakwenda afu wewe unasema huna imani, mtu mmoja akisema hana imani lakini robo tatu wakienda na kupata huduma nani tumfuate hapo,” Muliro.


Source: CLOUDS FM

Pia soma:

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
Namna hiyo. Muosha kaoshwa!
Aende Tu polisi, mbona yeye. Alikuwa anawapeleka watu aliowatuhumu uhalifu huko polisi!?
Sasa iweje Leo awatuhumu aishie mitandaoni!
 
Unadhani wanakuja kukuuwa kwa kutumia masaburi?😁😁
LESBIANS BISEXUALS GAYS NI TAASISI HATARI NA INAMAFUNGU YA KUTOSHA. NI MKONO TENDAJI WA KISHETANI.
Umejuaje mtanzania mwenzangu?
 
1649764598531.png
 
Eti mashoga wanataka kumuua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi mashoga hata wawe mia wanaweza muua mtu kweli!! Au watamuua kwa kumchamba!!
Unafikiri mashoga ni hao wanaojilegeza pekee!
 
Makonda ni lazima apoteze imani na jeshi la polisi akiwa nje ya madaraka, maana anajua alipokuwa madarakani alilitumia hilo jeshi kuficha maovu yake. Kama aliweza kufanya mauaji na jeshi la polisi likakammkalia kimya, leo hii hana madaraka ataliamini vipi?
 
Muda mfupi baada ya RC wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika mtandaoni kuwa kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua, Jeshi la Polisi limesema kama kweli ana hofu anatakiwa aende kutoa taarifa Kituo cha Polisi.

Akizungumza na Kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema: “Raia yeyote wa nchi hii ana haki ya kutoa taarifa Polisi kama ni kweli na ni jambo ‘serious’.

“Mimi sijaliona hilo tamko lake, najua watu ambao wapo serious wanaenda Polisi. Siwezi kushauri kuhusu hilo, watu unaowaongelewa wana weledi, wanajua taratibu, na ninajua wanajua, kwanza siamini, wana maarifa ya kutosha.

“Hao watu unaowazungumzia wana maarifa ya kutosha kujua wafanye nini, kama hana imani basi ofisi za Serikali zingefungwa, kama watu wanakwenda afu wewe unasema huna imani, mtu mmoja akisema hana imani lakini robo tatu wakienda na kupata huduma nani tumfuate hapo,” Muliro.


Source: CLOUDS FM

Pia soma:

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
mwambieni kaka waliyokuwa wanampigia saluti wanamwita akaripoti kama walivyokuwa wakiripoti waliyotishiwa enzi hizo lakini wakawa na imani na polisi.Ila jesh la polisi nashauri lifanyiwe mabadiliko ya kinidhamu.Kuna tatizo
 
Muda mfupi baada ya RC wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuandika mtandaoni kuwa kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua, Jeshi la Polisi limesema kama kweli ana hofu anatakiwa aende kutoa taarifa Kituo cha Polisi.

Akizungumza na Kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema: “Raia yeyote wa nchi hii ana haki ya kutoa taarifa Polisi kama ni kweli na ni jambo ‘serious’.

“Mimi sijaliona hilo tamko lake, najua watu ambao wapo serious wanaenda Polisi. Siwezi kushauri kuhusu hilo, watu unaowaongelewa wana weledi, wanajua taratibu, na ninajua wanajua, kwanza siamini, wana maarifa ya kutosha.

“Hao watu unaowazungumzia wana maarifa ya kutosha kujua wafanye nini, kama hana imani basi ofisi za Serikali zingefungwa, kama watu wanakwenda afu wewe unasema huna imani, mtu mmoja akisema hana imani lakini robo tatu wakienda na kupata huduma nani tumfuate hapo,” Muliro.


Source: CLOUDS FM

Pia soma:

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli
KAMANDA ACHENENI NA MSHAMBA HUYU, ANAFANYA BIASHARA ZA KIMTANDAO KWA KU- CREATE ISHU ILI APATE FOLLOWERS ALIPWE MAPESA NA MITANDAO
 
Umejuaje mtanzania mwenzangu?
Kama huwa unaangalia mpira utaona kabisa rainbow ambayo ni kiwakilishi cha nguvu yao ikitamba kwenye vitambaa vya ma captain... Bado wanapewa airtime kwenye cyomvo vya habari, jumuia za kimataifa na haki za binadamu. Usicho kijua labda hata padre mkuu wa kanisa lenu anasapoti ushoga.
 
Makonda siku hizi kawa kama Harmonize tu nae..Hamonize anampenda Kajala analia Instagram badala amfuate wakaombane msamaha huko na Makonda nae yaleyale anatishiwa anaenda Insta kulalamika Uhai wake upo hatarini kwanini asiende Polis kweli na ni mtu anafahamu procedures yule.
 
Back
Top Bottom