Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi

Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi

Eti mashoga wanataka kumuua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi mashoga hata wawe mia wanaweza muua mtu kweli!! Au watamuua kwa kumchamba!!
Makonda anaweza kuwa na ugomvi na mashoga hadi kutaka kumdhuru? Serious??
 
Makonda aje kwangu nitamhifadhi bure. Mwambieni kuna condo moja ya mhaya anaitwa Rutagwerera ataishi bure bila kupata wasiwasi

Masharti na vigezo kuzingatiwa.
 
Kama huwa unaangalia mpira utaona kabisa rainbow ambayo ni kiwakilishi cha nguvu yao ikitamba kwenye vitambaa vya ma captain... Bado wanapewa airtime kwenye cyomvo vya habari, jumuia za kimataifa na haki za binadamu. Usicho kijua labda hata padre mkuu wa kanisa lenu anasapoti ushoga.
Oops. Kumbe mashoga mnajuana. Mimi ni nani hata nikubishie?

Kila la kheri
 
Kwani kile kikosi chake cha wasiojulikana kipo wapi
 
Unadhani wanakuja kukuuwa kwa kutumia masaburi?😁😁
LESBIANS BISEXUALS GAYS NI TAASISI HATARI NA INAMAFUNGU YA KUTOSHA. NI MKONO TENDAJI WA KISHETANI.
Hakuna shoga ana shida ya kumuua bashite
 
Eti mashoga wanataka kumuua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi mashoga hata wawe mia wanaweza muua mtu kweli!! Au watamuua kwa kumchamba!!
Mkuu haujui unachoongea au hauwajui mashoga, labda umekariri, mashoga wapo jeshini , wapo serikalini, wapo mamilionea wakubwa wapo bungeni kila sehemu wapo ni watu wenye nguvu kubwa.

Sio mashoga hao unao waona wamejikatia tamaa na wamelegea kama mlenda, mashoga wa ukweli ukiambiwa uta bisha na hata ngumi utapigana mkuu, kwanza wana familia zao wengine six pack na wana mamlaka makubwa, ni mtandao hatari kama wauza madawa kwa hiyo wana uwezo mkubwa wa kumpoteza mtu au kuweka viongozi wao, acha upuuzi.
 
Eti mashoga wanataka kumuua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi mashoga hata wawe mia wanaweza muua mtu kweli!! Au watamuua kwa kumchamba!!
Wenyewe wakipigwa na maganda ya mayai wanaumia
 
Nafurahi kuona unazijua tabia za mashoga . Yalekea una uzoefu. Au umeshaacha?
Hatuna haja ya kuchafuliana siku watu wazima. Naomba niishie hapa. Au straight kwenye ignore list.
 
Unafikiri mashoga ni hao wanaojilegeza pekee!
Mwanaume ata uwe na miraba sita,ukishainama mwanaume mwenzako akukutumbikizia dudu kwenye kinyeo chako kamwe huwezi kua na ubavu wakumkoromea mwanaume yoyote anayejielewa.
 
Mkuu haujui unachoongea au hauwajui mashoga, labda umekariri, mashoga wapo jeshini , wapo serikalini, wapo mamilionea wakubwa wapo bungeni kila sehemu wapo ni watu wenye nguvu kubwa.

Sio mashoga hao unao waona wamejikatia tamaa na wamelegea kama mlenda, mashoga wa ukweli ukiambiwa uta bisha na hata ngumi utapigana mkuu, kwanza wana familia zao wengine six pack na wana mamlaka makubwa, ni mtandao hatari kama wauza madawa kwa hiyo wana uwezo mkubwa wa kumpoteza mtu au kuweka viongozi wao, acha upuuzi.
Watafanya hayo kwakutumia mamlaka zao nasio ushoga.Kwahiyo nadhani ukumuelewa uliyemnukuu.
 
Hivi mashoga hata wawe mia wanaweza muua mtu kweli!! Au watamuua kwa kumchamb

Ni mashoga wa mchongo aliowapakazia kesi....

sio wale mapunga kweli,,, wale asingewaogopa...

Anajua alilofanya
 
Mwanaume ata uwe na miraba sita,ukishainama mwanaume mwenzako akukutumbikizia dudu kwenye kinyeo chako kamwe huwezi kua na ubavu wakumkoromea mwanaume yoyote anayejielewa.
Au siyo!
 
Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amemshauri Paul Makonda kwenda kituo cha polisi kuripoti tuhuma alizozitoa mtandaoni, ikiwamo ya kudai kutishiwa maisha.

“Sijaongea naye (Makonda), lakini kupitia ninyi (vyombo vya habari), namshauri aende kituo chochote cha polisi endapo madai aliyoyatoa yana ukweli. Inategemea yeye (Makonda) anakaa wapi, lakini aende kituo cha polisi cha karibu kwa ajili ya kutoa maelezo ya madai yake,” alisema Muliro.

Juzi katika mitandao ya kijamii zilisambaa taarifa zilizoibua mjadala zikimhusu Makonda, aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ikiwamo iliyokuwa na kichwa cha habari, “nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na makundi matano kuangamizi maisha yangu.”

Hata hivyo, Kamanda Muliro alisisitiza umuhimu wa Makonda kwenda kutoa taarifa polisi, akisema hivi sasa mifumo inafanya kazi vizuri, hivyo akipeleka jambo lake hata kwa maandishi litashughulikiwa.

“Kazi yetu polisi kuchunguza malalamiko yoyote ya kijinai, lakini jambo linalochunguzwa lazima kuwepo kwa ushahidi wa kuridhisha. Narudia kama kweli amelalamika na madai yana ukweli basi aende kituo cha polisi cha karibu,” alisema Kamanda Muliro.

Source: Mwananchi
 
Back
Top Bottom