Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi


Ngoja tuone ..
 
jamaa wanafanya kazi kwa maelekezo ya kutoka juu
angekuwa mpinzani angeambiwa ajisalimishe
 
Labda anataka afuatwe nyumbani kwake
 

Huyu wamnyonye mavi kabisa aliumiza wengi kipindi cha mwendazake! Washikilie hapo hapo wasiachie
 
Je alikwenda Polisi kufungua RB?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…