version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Kuna mjinga mmoja juzi tu hapa kaleta uzi wake watu wajiunge yeye ameshapata 10m na amenunua kiwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanasema tuma hela 300,000 sijui nkupe connectionMbona watu wengi matapeli hasa watu maarufu wanadai wanachezesha michezo af wanakimbia
Kuna kipindi nusu niingie mkenge nikastuka alipoanza kusema anataka pesaWengine wanasema tuma hela 300,000 sijui nkupe connection
😄 wapmbv wanatuma kweli
Ova
😄Kuna kipindi nusu niingie mkenge nikastuka alipoanza kusema anataka pesa
Acha bhna nilikuwa simuamin nikiangalia account naona ina flwrs wengi wakutosha ila how atake pesa kabla ya kaziWat
😄
Ova
Wapo waliopewa mwanzo ili wawashawishi wengineKwahy hawakuwai kuvuna faida?
LBL ni kampuni ya nini?Meneja wa kampuni ya LBL Kanda ya mbeya amekamatwa juzi tareh 18/2/2025 baada ya polisi kuvamia ofisi za kampuni hiyo na kufanya upekuzi na kubaini kufanyika biashara ya upatu.
Poleni sana Wana mliowekeza ktk biashara hiyo
Biashara ilikuwa inafanyikaje?Wapo waliopewa mwanzo ili wawashawishi wengine