Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

Konachonifurahisha ni wahusika kwenye group eti wanawambia hawataweza kutoa ela mpaka tarehe 25 eti uongozi wa lbl wanakuja kuzungumza na serikali na BOT na kwamba eti wenye kampuni za kutoa mikopo ndio wanawachongea kwa kuona wivu.
Sasa raia wanaamini kabisa hayo maelezo na waliyemtuma awaeleze hivi na eti team leader.
Raia wanaamini. Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa sisi tunaingia mapema tunakula mapema.
 
LBL imefaidisha wengi,
Ni mchezo rahisi wa kula pesa
Ukiweka laki tano, unakula laki kila wiki
Ndani ya mwezi hela yako imerudi unaendelea kula faida, laki kila wiki hadi kampuni itapofungwa

Ukipuuza LBL puuza kila aina ya bet unayoijua!
Ukiwa unacheza bet yoyote, utakuwa mjinga Sana usipocheza LBL
Kama unacheza vikoba, utakuwa mjinga Sana Kama hauchezi LBL

Swali ni dogo, Je ukiwa barabarani ukaona noti za Elfu kumi zipo pembezoni mwa barabara hutaziokota?
LBL Kuna pesa za kuokota!
 
NANI ASIEJUA YALE MAKAMPUNI

KOPA PESA

MICROPESA

KIKIPESA

NK

YAMEIBIAAA WATU WEEEEE

TUKAANDIKA HUMU KILA SIKU BOT HAMUONI HAWA

MBONA MWISHO WANAANDIKA WAKASAJILIWE HAWANA RUHUSA

YAAN WANAFANYA WIZI WA MTANDAON MIAKA ZAIDI YA 3 UNASEMA LEO HII HAWANA VIBALI KWELI

NILISEMA SUBIRI KUNA NDUGUZAO WATALIZWA NDIO WAJUE UCHUNGU WA MAKAMPUNI YA MTANDAO
Walikutana na mimi Pesa X niliondoka na 200,000 yao.

Kuna mtu humu andiko lilinisaidia kuondoka na pesa yao bila kulipa.
 
Konachonifurahisha ni wahusika kwenye group eti wanawambia hawataweza kutoa ela mpaka tarehe 25 eti uongozi wa lbl wanakuja kuzungumza na serikali na BOT na kwamba eti wenye kampuni za kutoa mikopo ndio wanawachongea kwa kuona wivu.
Sasa raia wanaamini kabisa hayo maelezo na waliyemtuma awaeleze hivi na eti team leader.
Raia wanaamini. Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa sisi tunaingia mapema tunakula mapema.
Watu tunawakataza wabishiii kama wamerogwq
 
Sasa ulishawai Kuona wap Hilo jambo na vijana walikuwa hawafanyi kazi tena mungu alishasema tutakula kwa jasho na wanawake watazaa kwa uchungu hakuna short kati hapo ulaya watu wanafanya kazi masaa 24 maisha yangekuwa rahisi hivyo wasingekuwa wanafanya kazi
Wajinga wengi wanaamini maisha Yana short cut acha wapigwe
 
Hivi serikali inashindwa kufuatilia hizi kampuni za ponzi na kufahamu mapema kabla ya watu kutapeliwa?

Wa kuwajibishwa ni hao waliotoa kibali, ponzi unaielewa mapema hata kwa akili za kuvukia barabara...

Waliosababisha watu kutapeliwa ni hizo mamlaka zilizotoa kibali, wananchi waliamini hio kampuni kwa sababu waliona ni legit na inatambulika...

Sasa hapo wamemkamata huyo tapeli akitoka ana mabilioni yake kwenye account anaendelea kula maisha..
Mkuu iko hivi hizo kampuni wanapoenda kwenye mamlaka huwa wanaandika shughuli tofauti kisha wanakabidhiwa vibali vyote kwa usahihi kabisa ila wakishaenda kuanza kazi wanabadilisha shughuli na kufanya tofauti na vibali vyao vinavyosema,sasa kwa vile watanzania wengi hawana uelewa wa haya mambo wakikaribishwa ofisini wanaonyeshwa hayo makaratasi ya vibali kutoka kwenye mamlaka za serikali baada ya hapo wanalainika na kuamini kwa asilimia 100.
Jukumu la kuilinda pesa yako ni la kwako mwenyewe,Serikali au polisi watajuaje kuwa umeibiwa?ni hadi pale utakapoenda kuripoti umeibiwa au kutapeliwa ndio wataanza kufanyia kazi
 
Mkuu iko hivi hizo kampuni wanapoenda kwenye mamlaka huwa wanaandika shughuli tofauti kisha wanakabidhiwa vibali vyote kwa usahihi kabisa ila wakishaenda kuanza kazi wanabadilisha shughuli na kufanya tofauti na vibali vyao vinavyosema,sasa kwa vile watanzania wengi hawana uelewa wa haya mambo wakikaribishwa ofisini wanaonyeshwa hayo makaratasi ya vibali kutoka kwenye mamlaka za serikali baada ya hapo wanalainika na kuamini kwa asilimia 100.
Jukumu la kuilinda pesa yako ni la kwako mwenyewe,Serikali au polisi watajuaje kuwa umeibiwa?ni hadi pale utakapoenda kuripoti umeibiwa au kutapeliwa ndio wataanza kufanyia kazi
Kiongozi hao jamaa wanajitangaza hadi kwenye mitandao ya kijamii, na habari zao zinaendea kwa kasi, ni uzembe tu unaofanyika, ikitokea hayo inabidi maofisa wanafika hayo maeneo na kufanya ukaguzi.
 
Taarifa njema sana hii.
Wenye nyota ya kuibiwa, Kuna utapeli mwingine unakuja Kaa mkao wa kuliwa
 
Kiongozi hao jamaa wanajitangaza hadi kwenye mitandao ya kijamii, na habari zao zinaendea kwa kasi, ni uzembe tu unaofanyika, ikitokea hayo inabidi maofisa wanafika hayo maeneo na kufanya ukaguzi.
Hao hawajaenda kwenye mamlaka husika kama wangeenda yasingetokea hayo sasa kama walienda walienda wap kama bioti ambao ndio wahusika wanasema hawawatambui huoni hapo Kuna shida
 
Afu Kuna mwamba kama huyu Mil 54 ipo hewani
 

Attachments

  • Screenshot_20250221-193856.png
    Screenshot_20250221-193856.png
    507 KB · Views: 2
Biashara ilikuwa inafanyikaje?
Hakuna biashara pale mkuu,,unachotakiwa kufanya ni kuweka 50,000 Hadi 540,000.
Kisha wao wanakutumia movies tano Kwa siku (trailer).unatakiwa uzitazame zote Kila clip inakuwa na sekunde 10 then wao wanakulipa 18,000 per day ikiwa umeweka 540,000.usipotazama wao wanakata 18,000 ktk Ile pesa yako
 
Konachonifurahisha ni wahusika kwenye group eti wanawambia hawataweza kutoa ela mpaka tarehe 25 eti uongozi wa lbl wanakuja kuzungumza na serikali na BOT na kwamba eti wenye kampuni za kutoa mikopo ndio wanawachongea kwa kuona wivu.
Sasa raia wanaamini kabisa hayo maelezo na waliyemtuma awaeleze hivi na eti team leader.
Raia wanaamini. Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa sisi tunaingia mapema tunakula mapema.
Kuna dogo nipo nae hapa kitaa ambae ni member wa LBL anakwambia kampuni ililetea na mama samia ili kuwapa ajira vijana,,anaamini Kila kitu wanachoambiwa kwenye groups zdo
 
Kwan pana wananchi waliokwenda kulalamika kwamba wameibiwa?
Kalynder mpaka watu wanapigwa serikali haikuwahi kuingilia kabisa. Baada ya kupiga wakakusanyana wakaandamana mpaka kwa mkuu wa mkoa, wakaanza kulalamika, wakaenda kumtafuta peter kibatala eti awaisaidie kufungua kesi kudai tigo kwanini iliruhusu kuweka na kutoa pesa kalynda kupitia namba za mtandao wake. Nadhani hata kibatala aliwaona wajinga.
Hakuna nchi inayokubali kampuni yoyote iendeshe ponze scheme katika ardhi yake. Ponze scheme lazima aat some point itaanguka maana hakuna biashara inayofanyika bali wanachukua pesa ya huyu na kumpa huyu. Uhai wa ponze scheme ni kuendelea kuinvite watu wengi waingie na lbl haijalishi serikali ingeingilia wala kutoingilia ilikuwa inaelekea ukingoni na ndiyo maana waliwafanya kila level mtu aweze kutoa pesa mara moja kwa week.
Serikali ni kama imewapa sababu ya kuondoka mapema. Kama si matapeli wawarudishie pesa zenu lakini bila shaka hawatafanya hivyo. Hiyo jtano waliyowambia kuwa mfumo wa kutoa pesa utarudi hewani sahau ndo wamesepa hivyo. Hata kalynda walianza oh tunasafisha mfumo, oh watu wamekuwa wengi mfumo umezidiwa unarudi. kumbe wanakuwa wanaondoa pesa kwenye line zao kimya kimya.
 
Back
Top Bottom