Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

Hakuna biashara pale mkuu,,unachotakiwa kufanya ni kuweka 50,000 Hadi 540,000.
Kisha wao wanakutumia movies tano Kwa siku (trailer).unatakiwa uzitazame zote Kila clip inakuwa na sekunde 10 then wao wanakulipa 18,000 per day ikiwa umeweka 540,000.usipotazama wao wanakata 18,000 ktk Ile pesa yako
Wao wanapata faida gani kwa kutazama movie? Jiulize swali dogo, niliona wanawambia kuwa walikaribisha Tanzania na serikali kuja kuondoa umasikini?
Return yao ni kubwa kuliko hata government bonds, ambapo ukiweka ela ndani ya mwezi ela uliyowka imerudi. Kwanini sasa matajiri ambao wanatumia mabilioni ya ela kununua governemnt bonds tena pesa inakaa miaka ili wapate return ambayo haifiki hata 25% wasingeweka huko hiyo ela?
WAnasema kampuni imeanzias uingereza, hivi kuna watu wanaojua uwekezaji kama wazungu? Kwanini wao wawekeze kwenye stocks ambazo return yake ni ndogo?
It is a scam. Google adesense ndiyo walipaji wakubwa wa kutazama matangazo wanajulikana dunia nzima kuwa ndiyo gwiji wa kulipa kwa views lakini wao wanalipa kati ya $3-5$ kwa 1000 views ila LBL wao wanakula 18000 kwa kutazama video 5 ambazo ni kama $5.
Watanzania tunatapeliwa kwa ujinga na kutokufanya background check. Tafuta hiyo kampuni mahali popote utaona haipo na wala haipo uingereza.
Uzuri watu wanaoingiza watu wanajua kuwa ni utapeli wanaingia mapema wanakula pesa wanabaki kuwachora. Mimi nilingia september na nilihisi haifiki december, ilipofika november na akaunti nikaigawa. Kua kabinti nilikambia usiwekeze pesa ya muda mrefu hii ponze scheme. Baadaye kakaja kuniambia kameweka pesa sijui ile ya meizi 3. Nikaona huyu hajaniamini. Mpaka sasa anaamini kuwa watarudi ila ndo wamesepa.
 
Kuna dogo nipo nae hapa kitaa ambae ni member wa LBL anakwambia kampuni ililetea na mama samia ili kuwapa ajira vijana,,anaamini Kila kitu wanachoambiwa kwenye groups zdo
Ndivyo waliwambia kwenye group. Wakasema ilianzishwa sijui uingereza mwaka 1960 kitu kama hicho. Kuna siku wakawaonyesha hadi jengo la serikali dodoma wakawambia ni ofisi yao wanamaliza kuijenga. Hawa watu ni wakenya au wanaija na kama ni wanaija wako hapa hapa.
Juzi eti wakawambia wametuma viongozi kutoka makao makuu kuja kuongea na bot na serikali hivyo watulie pesa itaanz akutoka kaunzia tarehe 25. Mimi sina mbavu. na group wakafunga kuchat ili wanaojua wasiwasanue wajinga.
 
Ndivyo waliwambia kwenye group. Wakasema ilianzishwa sijui uingereza mwaka 1960 kitu kama hicho. Kuna siku wakawaonyesha hadi jengo la serikali dodoma wakawambia ni ofisi yao wanamaliza kuijenga. Hawa watu ni wakenya au wanaija na kama ni wanaija wako hapa hapa.
Juzi eti wakawambia wametuma viongozi kutoka makao makuu kuja kuongea na bot na serikali hivyo watulie pesa itaanz akutoka kaunzia tarehe 25. Mimi sina mbavu. na group wakafunga kuchat ili wanaojua wasiwasanue wajinga.
Ukishaona group limekuwa locked basi jiandae kisaikolojia...
Mimi nilishalizwa 900k kwenye Ile sijui forex,,halafu makao makuu hukohuko Mbeya...Kuna mwamba tulikuwa tunajua ni Dem ndie MD tulizoea kumwita Madame Vero kumbe Njemba...mwanzo nikawa napewa mgao baadae group likawa ONLY ADMIN CAN SEND THE MASSAGE.
KILICHOFUATA USIKU WA MANANE WOTE TUKAWA REMOVED🤣🤣
 
Mkuu hivi kenge ana masikio?
Au ulimaanisha puani🤣🤣
Nakubaliana nawe kwamba kenge hana masikio, ila wana pua. Kwamba kusikia kwa kenge hadi damu zimtoke masikioni ni msemo wa Kiswahili ambao hutumika sana kuwaeleza watu ambao hawasikii ushauri hadi hapo wanapokutwa na masaibu.
 
Ukishaona group limekuwa locked basi jiandae kisaikolojia...
Mimi nilishalizwa 900k kwenye Ile sijui forex,,halafu makao makuu hukohuko Mbeya...Kuna mwamba tulikuwa tunajua ni Dem ndie MD tulizoea kumwita Madame Vero kumbe Njemba...mwanzo nikawa napewa mgao baadae group likawa ONLY ADMIN CAN SEND THE MASSAGE.
KILICHOFUATA USIKU WA MANANE WOTE TUKAWA REMOVED🤣🤣

Eti Madam Vero 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom