sukhoi su35
Member
- Jan 29, 2025
- 17
- 38
kusikia kwa kenge...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uuzaji wa madawa yenye athari mbaya kwa binadamuLBL ni kampuni ya nini?
Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa. Siye twala since august. Ila wanaoenda kuliwa ni so soonHivi nasikia sana kuhusu LBL.
Em mnijuze vizuri kuhusu hili, LBL ni nini na inafanya kazi gani?
😄 wajinga waliwaoMeneja wa kampuni ya LBL Kanda ya mbeya amekamatwa juzi tareh 18/2/2025 baada ya polisi kuvamia ofisi za kampuni hiyo na kufanya upekuzi na kubaini kufanyika biashara ya upatu.
Poleni sana Wana mliowekeza ktk biashara hiyo
InatapeliHivi nasikia sana kuhusu LBL.
Em mnijuze vizuri kuhusu hili, LBL ni nini na inafanya kazi gani?
Mpaka atoke damukusikia kwa kenge....
Vibali vp kama walikuwa na vibali bioti wasingewakamata hio benk ya dar ni ipi hao ni matapeli na mwisho wake wangeleta shida yaani ujiunge na laki Tano na 40 alafu kila siku unapolea 18 elfu na unapolea hio pesa kwa mda wa mwaka MojaWaambie wawasiliane na Bank kuu Dar mbona kampuni Ina vibali na usajili
Baada ya mwezi hela yako imerudiVibali vp kama walikuwa na vibali bioti wasingewakamata hio benk ya dar ni ipi hao ni matapeli na mwisho wake wangeleta shida yaani ujiunge na laki Tano na 40 alafu kila siku unapolea 18 elfu na unapolea hio pesa kwa mda wa mwaka Moja
Sasa ulishawai Kuona wap Hilo jambo na vijana walikuwa hawafanyi kazi tena mungu alishasema tutakula kwa jasho na wanawake watazaa kwa uchungu hakuna short kati hapo ulaya watu wanafanya kazi masaa 24 maisha yangekuwa rahisi hivyo wasingekuwa wanafanya kaziBaada ya mwezi hela yako imerudi
Siku nyingi. Sasa hivi wanaotafuta huduma ya Serikali. Pamoja na Serikali kutoa onto kupitia Benki Kuu bado kuna watu ambao, kama kenge, hawataki kusikia Hadi hapo damu zikianza kuwatoka masikioni.Ivi tayali watu walishalizwa au bado