ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mjinga ni ww usiye na akili kasome kifungu cha 34 cha sheria ya maafaWewe na wote wanaotoa maagizo y a namna hiyo kwa kisingizio kuficha ushahidi ambao haupo nyie ndio wajinga .
Ni ujinga na upumbavu kumkamata mtu bila ya kuwa na ushahidi
Ipo sheria ya maafaSijawahi kujua kama hii sheria ipo.
Ahsante mkuu
AhsanteIpo sheria ya maafa
Sasa ndo uanze kuelewa kwanini watu waliotoboa maisha wanasemwa kuwa wana roho mbaya ndo vitu kama hivi usababisha yeye kafanya fund raising , sasa ili wasionekane wamepoteza mvuto kwa jamii wanaenda kumpiga pini ishu wangemuacha hadi mwisho waone hiyo fedha iliyochangishwa itatolewa au itakuwaje then waanzie hapo.Taifa tumefika hapa kweli! Tunawafundisha nini watoto wetu kwakweli?
Nifah ni nani kwenye taifa hili, amefanya nini ambacho kinatutambulisha kama taifa kiasi cha kawafanya vijana watamani kufika alipofika huyo mtu, kaandika kitabu gani ambacho vizazi vijavyo vitajifunza kupitia nacho!
CCM laana hii mtaibeba nyie na vizazi vyenu! Nilikuwa sijuhi kwanini kuanzia huku ngazi za chini Hadi taifa watu wenye weredi, wabunifu, wenye maono huwa hawapewi nafasi na huwa hawapedwi!
Sina wivuWizi umeona kaiba!?
Ila tukubaliane ana nyota yake wengi hawana has hao wa wivu like...... Tuanze kwako pia ππππ
Aaahaaaaa basi Tiharahei wa deal naeHa ha haaaa nilisikia ni
Maziwa ya watoto ya unga..
Hafatwi tena ndio maana visirani anafikiri Niffer kawa kama yeye kupewa short cuts.
Naye inabidi revenue watembee nae tu
Sikujua kama kuna sheria hiyo.. Nimepata kitu.Serikali ilishaweka muongozo. Huyu akaingia katikati. Halafu hili suala la utakatishaji fedha waliangalie vizuri. Zaidi ya hii michango ya maafa kuna kila dalili kuwa huyu binti anatumika na watu fulani kufanya hiyo kazi ya kutakatisha hela. Watumie hii chance kumbana. Huyu kuna zaidi ya hizo biashara..
Wana vita imepitiliza ile msemo wa your competitor in business is your enemies ila kwa hawa imepitiliza inaonekana shangazi res anaona dogo ameandilia sana yaani kila level amempita ndo maana anamsagia kunguni kila kona ila dogo anapeta tu .Naona alivyo changisha tuu Resty kainuka juu vibaya mno..... sijui wana ttzo gani
Hapo mwanzo mbona Kuna siku Niffer alikuwa balozi wa la vista organic za huyo Resty ......
Oooh kumbe!Mr lawyer kumbe siku hizi ni MC ngoja ni follow maana Resty huwa ananikera sanaMume ni MC Cuzo ndiyo inawaweka mjiniπ
Jf kila jibu lipo tayari tayari!Haina haja ya wakili, Tako lake linatosha kumtoa. Akina Mange si wanasema ni Chakula ya wakubwa π€£ atasumbuliwa kidogo kisha atatoka.
Yaani ameingia cha kike.maana hela zote atakazodai ni za kwake inatakiwa efd ionesheIla jamani dada ana kiherehere yule ππΎππΎ Yeye kutwa anatakaga tu kuprove kuwa yeye ndio anajua sana biashara, amebarikiwa sana, ana wateja na wafuasi sana yani tafrani tupu. Hadi faida anazotengeneza anakuja kuweka mtandaoni π Kama ni kuwin, awin in silence ila masifa ndio yanayomcost. Kuna kuinspire watu ila huku kwake ni kimbelefront aisee π
Kwani serikali umesema haina hela?
Kwani serikali umesema haina hela?
Kwenye maafa kama haya siyo busara watu wachangishe bila kibali maalum. Huyu kwanza anaonyesha ni mjanja janja na anaweza kupiga hiyo michango.Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Punguza wivu mbona ombaomba wanawachangisha kila siku mjini na mmechomekea midomoNchi Iko Autopilot hii.... Yaani inajiendea TU. Kwanza inatakiwa kuwe na taratibu za kisheria mtu afate ndio apewe kibali Cha kuchangisha watanzania.
Hawa watoto wanatumika kusafisha fedha Chafu za mafisadi papa na wezi hiyo inajulikana...
Mtu anatangaza TU watu wamchangie mara milioni 5, 15, 30,50M chap chap. Huoni hapo wanataka kupitisha mahela yao machafu na hivi serikali imetangaza kubadilisha noti. Watu wanataka hela walizofukia ziingize kwenye mfumo. Ndio maana na huyo mtoto anafungua mall huko Dom. Ni money laundering.....
Na watanzania msipende kuibiwa. Vitu kama hivi jitahidini kuwatafuta wahusika wa ajali wenyewe watumieni hela au washikeni mkono. Sio mnaambiwa mnatuma TU kama mazuzu....