Jeshi la Polisi: Ukipewa dhamana polisi kutoka ni bure usitoe pesa

Mkuu wa jeshi la polisi amuhamishe huyu mama kutoka kule Geita matukio yamekuwa mengi sana inafikia hatua mpaka hao wezi wanamtishia maisha hata yeye na Kanda ya ziwa wanawadharau sana wanawake hasaakiwa Kiongozi.
 
Kwa Geita sawa ila hawa waketu huku Daslaam thubutuuu! Arooo nakwambia unarudi rumandeee shenzi type!
 
Siyo POLISi wale wa stakashari
Wanakula rushwa hatari! Siyo wote lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…