Jeshi la Polisi wameongeza muda wa kuomba kazi hadi 26.05.2024

Jeshi la Polisi wameongeza muda wa kuomba kazi hadi 26.05.2024

Naomba kuona tangazo la mwanzo kuhusu hii kazi ya u polisi.
Yaani ni vituko.
Tangazo la kwanza ni www.polisi.go.tz

Sasahivi ni ajira.tpf.go.tz

Lakini kuna link watu wanatuma maombi imeandikwa hivi ajira2.tpf.go.tz na wao sasahiv wanasema maombi yote yatumwe kwenye ajira.tpf.go.tz

Siwakatishi Tamaa ila kuna michezo inaendelea na watu wengi hawajafanya maombi kama wanavyojiaminisha.
 
Yaani ni vituko.
Tangazo la kwanza ni www.polisi.go.tz

Sasahivi ni ajira.tpf.go.tz

Lakini kuna link watu wanatuma maombi imeandikwa hivi ajira2.tpf.go.tz na wao sasahiv wanasema maombi yote yatumwe kwenye ajira.tpf.go.tz

Siwakatishi Tamaa ila kuna michezo inaendelea na watu wengi hawajafanya maombi kama wanavyojiaminisha.
Huenda ni kweli, pengine wameona Vijana wengi Wana akili sasa
 
Msaada wakuu ....
Nimefanya Kila kitu ila nikakosea kwenye selection ya kozi ya dogo ( ufundi huu wengine hatuna ABC nao so nimekosea Nikaselect tofauti kidogo na kinachohitajika .....ikawa imeenda .....
Kuwapigia Ili nipate kufuta Ile selection ... wananiambia ndo umekosea tayari masharti ya ajira so umekosa tayari ....

Yaani nimeishiwa nguvu tu hapa ......🙌🙌
 
Msaada wakuu ....
Nimefanya Kila kitu ila nikakosea kwenye selection ya kozi ya dogo ( ufundi huu wengine hatuna ABC nao so nimekosea Nikaselect tofauti kidogo na kinachohitajika .....ikawa imeenda .....
Kuwapigia Ili nipate kufuta Ile selection ... wananiambia ndo umekosea tayari masharti ya ajira so umekosa tayari ....

Yaani nimeishiwa nguvu tu hapa ......🙌🙌
Usiogope, hawanaga umakini huo, watakupachika Tu popote Ndugu yangu, utarudi hapa utaniambia
 
Usiogope, hawanaga umakini huo, watakupachika Tu popote Ndugu yangu, utarudi hapa utaniambia
Mungu atutangulie kwakweli maana dogo amekata tamaa kabisa na hata nafikiri pengine haijapangwa iwe labda ....maana nimefanya blunder dakika za jioooooooooni .....dah
 
Mungu atutangulie kwakweli maana dogo amekata tamaa kabisa na hata nafikiri pengine haijapangwa iwe labda ....maana nimefanya blunder dakika za jioooooooooni .....dah


Hapo hamna tatizo hizo ajira ni nyingi Sana hawezi kukosa nafasi
 
wal
Msaada wakuu ....
Nimefanya Kila kitu ila nikakosea kwenye selection ya kozi ya dogo ( ufundi huu wengine hatuna ABC nao so nimekosea Nikaselect tofauti kidogo na kinachohitajika .....ikawa imeenda .....
Kuwapigia Ili nipate kufuta Ile selection ... wananiambia ndo umekosea tayari masharti ya ajira so umekosa tayari ....

Yaani nimeishiwa nguvu tu hapa ......🙌🙌
walisema ukiselect ajira ndiyo umeselect.
 
Wasiojua makali ya kikotoo wanatafutwa Ili waipitishe 2025 salama!nimewaelewa sana!

Big up kitengo Cha negative intelligence ndani ya system!


Hawa jamaa walivyopaniwa na wananchi naona wametumia hii mbinu makusudi maana watachukua vijana wengi Sana.
 
Wale ambao wana degree na course zao hazijatajwa pale sasa hapo unaomba kama form VI au
 
Wale ambao wana degree na course zao hazijatajwa pale sasa hapo unaomba kama form VI au
Ndio, ila zingatia na umri walioweka kwa level ya form VI kama unakuruhusu.
 
Back
Top Bottom