Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Kazi ya kinafiki, kizandiki kiwizi wiziNaomba kuona tangazo la mwanzo kuhusu hii kazi ya u polisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya kinafiki, kizandiki kiwizi wiziNaomba kuona tangazo la mwanzo kuhusu hii kazi ya u polisi.
Sawa kaka asanteNdio, ila zingatia na umri walioweka kwa level ya form VI kama unakuruhusu.
Karibu dadaSawa kaka asante
Sasa kweli man unaombaje na living certificate kweli huyo asubirie akipata chetiKuna dogo amemaliza safari hii kidato cha nne najaribu kuomba kwa kutumia leaving ila sehemu ya mwisho ya kuapload barua inakuja in fade nyekundu FAILED TO PROCESS APPLICATION. kwa mwenye kujua specific problem ni nni
Refresh page then Anza kujazaMsaada kwenye ku upload cv na kwenye kuadd elimu ya bachelor. Kuna dogo namsaidia hapa naona bado ina error. Wenzetu mmewezaje?
Maajabu gani tenaLog in kwa account zenyu washaanza kufanya maajabu huku
Kuna maajabu gan mkuu, kwangu haifunguki..kuna jipya?Log in kwa account zenyu washaanza kufanya maajabu huku
Ingieni muangalie kama tangazo linavosema mkuu.Maajabu gani tena
Kwangu mimi nikijaribu log in naona hakuna jipya zaidi ya kusema application deadline met..Ingieni muangalie kama tangazo linavosema mkuu.
Kuwa angalia updates zenyu kule
Mkuu u kilog in angalia kwa dash board yako chini kabisaKwangu mimi nikijaribu log in naona hakuna jipya zaidi ya kusema application deadline met..
Hamna maajabu hataMkuu u kilog in angalia kwa dash board yako chini kabisa
Sawa mkuu...Hamna maajabu hata
Pako vilevile, hakuna kipyaMkuu u kilog in angalia kwa dash board yako chini kabisa
Sawa mkuu uwe unaingia usikae mazima kusubiri watangaze kuna taarifa wanatuma za ku apdates kitu flan kama hakipo sawaPako vilevile, hakuna kipya
Sawa mkuuSawa mkuu...
Uwe na mazoeq ya kuingia
Makini mkuuSawa mkuu uwe unaingia usikae mazima kusubiri watangaze kuna taarifa wanatuma za ku apdates kitu flan kama hakipo sawa