Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Russia anapigana na nchi 20 vs yeye binafsi hivi tyson akipigana na WATU 20 kwa pamoja na wakamdhibiti utasema tyson ni dhaifu?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ni mambo yakuchekesha ila wabongo jamaan ni wajuaji... Hadi wewe unaweza mfundisha urusi cha kufanya yani unaweza Sema urusi dhaifu kweli mbongo mweke picha tu maudhui atajaza mwenyew
Mtu yupo Ushirombo huko eti anamfundisha Putin cha kufanya vitani!!!!
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Yaani unachekeshaga wewe. Inabidi uanzishe tu kipindi cha comedy. Nchi ambayo ni dhaifu mno inasababisha nchi 30 za NATO zijiunge ili wakabiliane nae peke yake. You must be nuts
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Wakati unakaza fuvu kuleta ndoto za kufikirika Russia anakusanya mapato makubwa ya mafuta na gas toka Nchi za Ulaya hasa Germany. Ungeelekeza nguvu zako kutathimini namna ya kuikomboa familia kutoka kwenye dimbwi la umaskini na kuongeza kipato chako.
 
Russia sio wamchezo broo iyo vita ni ya watu wengi sio ukraine pekee.Wana saidiwa na a lot of country those Russia wanaonekana ni week
Mkuu mbona kama lugha ya Malikia na Kiswahili vinapigana vita kwa hii comment yako [emoji3]
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Nilikuwa nasoma makala zako nikajua nasoma makala za mtu mwenye upeo kumbe chizi!sisomi tena
 
Back
Top Bottom