Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Umeongea ukweli... Jeshi kuingia mtaani labda ni mapinduzi au kusaka waasi. Hiki wanachokifanya ni kutafuta kiki
Jeshi limekuwa kama bongomovie mandongamwijaku style babalevel

Ova
 
Watanzania uzuzu wetu umeanzia kuonekana hapa hapa kwenye huu uzi. Yaani kabisa kuna watu wanamdhihaki na kumwona Mwambukusi kama amekosea. Watu kama hao unatarajia kuna siku watakomboka na kuwa huru kifikra???

 
Tatizo la nchi masikini hili
Yaani tatizo mnaliona ila wahusika wa kukemea kama wabunge wako kimya wanaogopa utafikiri wanavunja sheria kuhoji sheria zinapovunjwa
Waziri wa sheria yupo, makatibu wapo

Sio kuwa hawajui bali wanaona wataambiwa sijui ukiherehere

Sasa likitokea kundi au mtu au taasisi kulaumu sheria zinavyopindishwa wanawekea biti na mikwara

Watu wajue mipaka yao na kwa hili sioni shida kabisa
 
Akili kubwa hii [emoji1666]
 
"Pale standard seven anapojua kutumia google translator kwa mara ya kwanza"
 
Nilitaka nikuulize profession yako kwa nia njema ila nimeacha maana I'm sure you'll take me wrong kumbe mwenzio nilikuwa nauliza kwa nia njema

Iko hivi, research kubwa kubwa duniani za kiteknolojia zinafanywa na majeshi pia, yaani majeshi ya research center zao katika maswala mbali mbali ikiwemo afya

Nikukumbushe tu hiyo internet uliyiitumia kuingia JF, TCP/IP iligunduliwa na jeshi la marekani

No one own internet, tunasema hivyo, tumesomeshwa hivyo na tunasomesha hivyo, lakini kwa TCP/IP model kiuhalisia ipo chini ya jeshi la America bado maana still waan privilege nayo kubwa sana

In short majeshini hususani ya wenzetu kama Iran ina watu akili zao zinachemka sana(akili mingi) na wanafanya project kubwa kubwa sana kadhalika na research muhimu!

Mifumo mingi sana imeanzia jeshini, hata Gantt chart tunayoitumia Ku schedule activities zetu imekuwa innovated jeshini

Kwahiyo hata jeshi letu likiwezeshwa liwe lakisasa wawe na research center yao, waende ilboru, mzumbe, kibaha zile I3 zisiszo na mbambamba waende huko IST wawashawishi wakishua watz walioko huko wajiunge na jeshi watumie hizo cream wajiwekeze kwenye tafiti litakuwa jeshi zuri zaidi ya hapa maana wao resource wanapewa
 
Umewasilisha hoja yako vizuri ingawa nadhani kuna kitu hujakielewa kuhusu ananchokisisitiza Wakili Boniface.

Yeye hajakataa sare za jeshi zisikusanywe. Hoja yake ni hii, sare hizo zisikusanywe na wananajeshi wenyewe bali polisi (kama ulivyowataja Military Police-MP).

Anachohoji yeye ni kwanini Wanajeshi wenyewe ndio wazurure mtaani kukusanya sare hizo huku wakitweza utu wa wananchi kwa vipigo na mateso ya aina nyingine?

Kwingine kote uko sahihi.
 
Mbona jeshi letu linafanya hayo pia

[emoji2089] [emoji2088] [emoji2088]

Ova
 
Nilijua hili jeshi limejaa wendawazimu pale nilipomsikia zezeta mmoja mwenye cheo cha lt kanali(sijui alikipataje??) anasema jeshi la Tz ni la 6 duniani.
La 6 duniani kwa kitu gani, ujinga au?
 
Huna unalolijua
 
Ujumbe mzuri kasoro tu hilo neno'hajitofautishe'...maana yaje nini mkuu?
 
Watanzania tuache kuchekea ujinga. Jwshi linapaswa kufanya mambo serious na sio kuanza kusumbua raia. Jeshi linapaswa kuwa sehemu ya raia kukimbilia pale ambapo vyombo vingine vyote vimeshindwa
Watu wengi vilaza sana...kazi yao kuunga mkono vioja....jeshi linapaswa kuwa home of major inventions....wao wanapaswa kufukuzia ukuaji wa technolojia dunia na kulinda rasilimali za nchi.... sio kupekua wananchi kutafuta sare...hilo mbona simple tu..wawaachie polisi tu...
 
Naunga mkono hoja. Haya majukumu wanayoanza kujivisha jwtz yatawafanya waanze kuonekana wa kawaida. Simply tutaanza kuwachukulia kama polisi tu
 
Watanzania tuache kuchekea ujinga. Jwshi linapaswa kufanya mambo serious na sio kuanza kusumbua raia. Jeshi linapaswa kuwa sehemu ya raia kukimbilia pale ambapo vyombo vingine vyote vimeshindwa
Hili jeshi ama JEZI squad??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…