Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Mi pia katika ili namuunga mkono jamaa
 
Nikiwa Jkt walikuwa wanamind sana ile kauli ya tuombe mechi ya kirafiki na nchi jirani maana wanajeshi wetu hawana kazi
 
Watanzania uzuzu wetu umeanzia kuonekana hapa hapa kwenye huu uzi. Yaani kabisa kuna watu wanamdhihaki na kumwona Mwambukusi kama amekosea. Watu kama hao unatarajia kuna siku watakomboka na kuwa huru kifikra???

Tuna hayawani na punguani wengi sana nchi, miongoni mwao ndio hawa wanaomdhihaki Mwambukusi. Hawana akili wala maarifa lakini wanaamini wana akili kuwazidi wenye akili.
 
Mambo kama hayo ndio yana zidi kuliondolea Imani na heshima kwa wananchi, yani wana dhalilisha watu kupita kiasi kisa tuu mtumba wa kufanana na sare zao, watu wana hasira nao Sana ni vile tuu hawana la kufanya
hiyo kazi waachie polisi wao wajikite kwenye mambo ya msingi zaidi hasa kwenye teknolojia ambayo ndio uti wa mgongo wa maisha ya sasa
 
Watanzania uzuzu wetu umeanzia kuonekana hapa hapa kwenye huu uzi. Yaani kabisa kuna watu wanamdhihaki na kumwona Mwambukusi kama amekosea. Watu kama hao unatarajia kuna siku watakomboka na kuwa huru kifikra???
Mkuu, mkoloni wa kwanza wa Mwafrica ni Mwafrica mwenzie..

Kuundoa uzuzu nchini, ni kuondoa mazuzu yanayokuja kwa kasi(zamani walijulikana kama vibaraka, sasa wanajiita machawa)

Tukiyaondoa haya, ubeberu utabaki ukitapatapa.
 
Hapana! Mwambikusi yupo sahihi,baada ya Bunge na Mahakama chombo peke kimebaki na heshima zake ni jeshi,sasa wasiliingize kwenye siasa ili nalo ligalagale kwenye tope Kama hao wengine. Sheria ipo wazi Nani mwenye Hilo jukumu la kufanya msako,nakuapia hakuna atakae thubutu kwenda kufanya msako baada ya Hilo onyo,maana wanajua kufanya hivyo ni uvunjaji wa Sheria,hayupo nasema hayupo,mtaniambia.
 
A
Acheni upumbavu baada ya kuvichafua vyombo vyote sasa mnaona na jeshi letu mlichafue si ndio,tuonyeshe Sheria inayotamka jwtz wanaweza kufanya hayo? Kazi za jeshi zinajulikana na polisi zinajulikana,sasa tuambie hizo yunifomu zilizotapakaa hapa Tanzania zipo wapi? Jeshi la polisi limeshindwa kufanya hiyo kazi?
 
Jeshi kuwekeza kwenye Research za HIV, COVID, Nuclear, Balistic Missiles, Ndege Jeshi, Submarines, wao wana hangaika na mitumba za Marehemu Wa Kizungu. Kiwanda chao cha Nyumbu kimeshindwa hata kuzalisha Bajaji za Abiria.
Ondoa HIV na COVID researches kwenye orodha, hizi siyo kazi za majeshi
 
Watanzania uzuzu wetu umeanzia kuonekana hapa hapa kwenye huu uzi. Yaani kabisa kuna watu wanamdhihaki na kumwona Mwambukusi kama amekosea. Watu kama hao unatarajia kuna siku watakomboka na kuwa huru kifikra???
Inasikitisha sana
 
Mnaleta utani kwenye ulinzi wa Taifa, acheni upumbavu tutawafuata majumbani uniform za jeshi ni haramu kutumiwa na raia
Hiyo ni kazi ya polisi
 
Yeye anaongelea sheria wewe unaongelea porojo na stories tu.
Polisi peke yake ndio wenye mamlaka ya kufanya upekuzi, kukamata raia na kuwafikisha mahakamani.
 
Huyo mpuuzi jeshi halifanyi ujinga ukiona hivyo ujue kuna tishio kubwa sana la usalama, na toka matukio ya kibiti Police haiaminiki tena kwenye mambo nyeti, undercover police wasaliti walikuwa wengi sana
Acha porojo, jeshi halitakiwi kuingilia kazi za polisi bila decree ya Rais.
 
Porojo
 
Akili zako kama za FaizaFoxy
 
Nazidi kumuheshimu na kummelewa Bw. Mwakabusi...
Yuko vizuri sana sana
 
Tunasikitisha tulivyo na uelewa mdogo, aidha wa haki zetu au KATIBA!
TUMEBAKIA KUTISHANA TISHANA TU!
CCM wataongoza nchi hii MILELE....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…