Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hakuna jipya zaidi ya siasa, utasikia wakisifia utendaji uliotukuka wa bi kidudeNajua muda huu mkuu Pascal Mayalla uko njiani kuelekea pale Ngome kuitikia wito wa JWTZ.
Natumai utatuhabarisha yanayojiri kama ulivyofanya juzi kwenye ule mkutano wa TOTAL.
Mungu wa mbinguni akupe wepesi.
Bibi ushungi anaweza kwenda benchiKwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv Aloyce Nyanda ni kwamba kesho JWTZ watafanya mkutano na waandishi wa habari ambapo watatoa Tamko Maalumu.
Source: Star tv The Big Agenda
Njaa kaliMayalla kwa Kisukuma ni "njaa". [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari snHuyu namjua sana tu hana la kudanganya.
Anashinda hapa mwanza kwenye mabaa analazimisha apewe k vant kisa yeye ni kada na ndugu wa jiwe.
Bibi ushungi anaenda benchi nini?Tamko la kuokoa jahazi, lisizame maana manahodha wamekuwa wengi, mbele ya jahazi, baada ya kuketi nyuma kutazama mwelekeo wa jahazi liendako.
Hakika umenenaKifupi wataongelea mafanikio ya jeshi kwa miaka 60 ya uhuru
Huko hakuna jipya zaidi ya siasa, utasikia wakisifia utendaji uliotukuka wa bi kik
Hata Gen. Alsisi alitoa press na sasa ni Rais MisriHuko hakuna jipya zaidi ya siasa, utasikia wakisifia utendaji uliotukuka wa bi kidude
Hao wana akiliHata Gen. Alsisi alitoa press na sasa ni Rais Misri
Najua muda huu mkuu Pascal Mayalla uko njiani kuelekea pale Ngome kuitikia wito wa JWTZ.
Natumai utatuhabarisha yanayojiri kama ulivyofanya juzi kwenye ule mkutano wa TOTAL.
Mungu wa mbinguni akupe wepesi.
Ni swala la mda police watavuna walichokipanda , inawezekana top ten leaders jeshini wapo upande wa serikali ,ila ukiondoa hao Sio wote wanaweza kuwa wanakubaliana na upuuzi unaofanywa au endelea kufanywa na jeshi la police, ipo siku kitawakaHakuna mwanajeshi mwenye ubavu mbele ya Kingai, Kingai ni zaidi ya CDF
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tatizo mmezidi kudanganywa na nyie mnakubali tu kudanganywa kama mazuzu tu
Ufipa ndio wanaogopa!Acha uoga wewe hakuna kitakachotokea! Hakuna wa kumpindua Chief Hangaya siyo MABETO wala ZERO.
Ufipa ndio wanaogopa!
Kwani we ni museveni kwamba ulienda kuzindua shule?Niko njiani nikitokea mkoani Chato bwashee!
Mambo ya Total alitujuza sababu hukoNajua muda huu mkuu Pascal Mayalla uko njiani kuelekea pale Ngome kuitikia wito wa JWTZ.
Natumai utatuhabarisha yanayojiri kama ulivyofanya juzi kwenye ule mkutano wa TOTAL.
Mungu wa mbinguni akupe wepesi.