Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

Tuanze kubadili mindset.

Hii nchi siyo ya viongozi bali ya raia. Tukiweza kuwaelimisha vijana wetu majeshini kuhusu hilo tutakuwa na wepesi kupiga hatua gatuzi za maendelek
Viongozi ndiyo wanafanya raia wawe siyo wazalendo...
Vita vyote unavyoviona huko nchi zingine,wanaopigana siyo wanajeshi tu mpaka raia nao wanavaa magwanda wanaenda frontline
Sasa kuna nchi moja wao wanajiona
Kama wana hakimiliki wao ndiyo wanafanya kila kitu

Ova
 
TUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Wewe ni Mtanzania? Kama kweli nasikia una undugu na Omani kwa mjibu wa yule Prof Kabudi alietuahidi Noah kila mtanzania
 
Tulikataza viroba wakahamia kwenye Cuca za kwenye vichupa..Sasa ona madhara yake!

Kama siyo vicuca basi Johnson Johnson imeanza kufanyakazi!
 
Tulikataza viroba wakahamia kwenye Cuca za kwenye vichupa..Sasa ona madhara yake!

Kama siyo vicuca basi Johnson Johnson imeanza kufanyakazi!
Sasa kwa kejeli hizi unadhani watu itatusaidia?

Kitu usichokijua heri kutulia tu,ukiona ile ni technolojia kubwa wengine hayo tunafanya toka std 7 huko.

Hii ndiyo shid ya jamii forum,bora ungeuliza hata baadhi ya kazi zangu sio kejeli.
Haina shida,subiri 2024 utaona kitu hewani toleo jipya kabisa.
 
Kuna siku walikuwa wanafanya mazoezi huko kusini yaana silaha zetu ni vichekesho za kizamani mno zimejaa kutu yaani kiufupi leo hii tukijichanganya hata kwa uganda tutapoteana.
 
Dah!

Mkuu ina maana tuna hali mbaya?

Kwanini tusitumie watafiti wetu waliopo hapahapa nchini?

Mimi mwenyewe kwenye kutengeneza drone naweza sana,tena full automated.

Mwaka kesho nitarusha moja,wakinihitaji niko tayari kufanya kazi nao.
Hapa tunazungumzia drone za kijeshi, sio drones za kupiga picha
 
Tatizo jeshi limetekwa na wanasiasa ndio maana hata wewe unasingizia tatizo bajeti wakati uhuni wa kisiasa ukiendelea Kwa vikesi uchwara mabilioni ya kulipa fidia yapo Tena Kwa haraka lakini kuweleza kwenye teknolijia bajeti hakuna hii nchi ngumu sanaa
 
Juzi kati hapa pande za msata walikuwa wanafanya drills zao
Zile...
Aise walininginiza chupa za juice maji mo energy kama ndy target
Kifupi tu wasipende kuonesha mazoezi yao maana watu wanawachora tu
Hatujui lakini,labda kama wana silaha za kisasa wanaZificha hawataki kuzionesha hadharani

Ova
 
Nijuavyo Silaha sio ushindi katika vita...
Bali Ni mbinu madhubuti Descpline ya askari.
Maana ukikosa hivyo hata uwe na makombora yapi hushindi vita
 
Na majeshi yetu yanajisahau.

Hayataki kutambua kwamba maslahi ya nchi yanahusu raia wote. Wao wamewekeza kwa viongozi kwa sababu wanapewa rushwa za teuzi hata baada ya kustaafu.


The real enamy wa nchi ni greedy politicians. Wamejaa tele
 
sawa umetumwa ujue sio ?
 
TUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Nakubaliana nawe 100%. Ukiwaona Ijumaa wanapokimbia mchakamchaka utashangaa kama unaowaona kweli ni askari wanaoweza kupigana vita.

Their only area of competence is at harassing innocent civilians.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…