nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Nawakumbusha tu watoto wadogo familia ya kina Mo imetoka mbali sana na hii team na ni baba yake mdogo ndiye aliyeifikisha simba fainal ya CAF 1993.
Kwa msiojua METL ni nini ni Mohamed enterprises limited.
Kwa msiojua METL ni nini ni Mohamed enterprises limited.