JF Chat: All members chat

Kuna siku nilienda mgahawani kula nikakuta movie ndo imeanza ni ya zamani mdada ni bongeee basi hadi marafiki wachumba hawamtaki kisa ni mnene

Mpaka mtaani kwao wadada watatu watauliwa na msamaria mwema aliyetaka kumsaidia huyo dada kisa anayanyasika na kua kitufee

Anayejua jina la hii movie aniambie nikaiangalie tena nifarijike🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…