Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Bantu nn shida?Why wanatoaa Ban kwa watu hata hawasumbui wengine na wanamuacha. Usichojua dear anatumwa huyo. Miye naelewa kila kitu. Wee acha nitamnyoosha.
Haya eb fanya majigambo ya jf tujue unakaa new york😂😂😂 Kwaio mi nakaa porini kule sio
sijawahi weza io kitu kamwe,,mimi ndo maskini kuliko wote humu jeyiefuHaya eb fanya majigambo ya jf tujue unakaa new york
Kwani imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sijawahi weza io kitu kamwe,,mimi ndo maskini kuliko wote humu jeyiefuHaya eb fanya majigambo ya jf tujue unakaa new york
Umejuaje utajiri wa wenginesijawahi weza io kitu kamwe,,mimi ndo maskini kuliko wote humu jeyiefu
Kichaa kaanza kumtuma yule mbwa wake, na kwangu kama alivyokuwa aliwafanyia wale.Kwani imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majigambo on trendingUmejuaje utajiri wa wengine
But si sawa ni hawa mods ndiyo wanamlea. Ana ID's kama 20 humu zote za kudhalilisha na kutukana watu. Jaribu wewe kusema ng'we Ban hii hapa. Kama si wao wanamlea ni nini? Wasipokuja naenda kumporomoshwa matusi ya 2030. Ole wao wanipe banHahahaha mimi sikutaka shida,,nilimpa ignore basi.
Hakika mimi nitaomba unitag tu hio siku,, napenda vitu ka hizo balaa😂But si sawa ni hawa mods ndiyo wanamlea. Ana ID's kama 20 humu zote za kudhalilisha na kutukana watu. Jaribu wewe kusema ng'we Ban hii hapa. Kama si wao wanamlea ni nini? Wasipokuja naenda kumporomoshwa matusi ya 2030. Ole wao wanipe ban
Nilimwambia ulinitukana kwenye ID yako nyingine. Akakataa, mimi mpaka niwe kwenye mood ya kujibu mtu. Kama sina sijibu hata. Na anatumwa yaani kuna mtu, akiwa na shida nawe or ukimpotezea anamtuma huyo kibwengo. Alishafanya kwa wengine nasasa anafanya kwangu. Nitadeal nao wote wawili.Wewe unacheka nae kwenye id yake ya django doer
Kuna uzi alinitukana, vincenzor akamuanzishia tifutifu hadi akapigwa ban muda huo huo akaja na id yake hiyo aliyotutukana mimi na wewe muda si mrefu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo nae anapewa airtime ya kiwaki, anatafuta umaarufu humu ndanii, afu kuna kitu hujakijuaa. Ntakudokezaa.Kichaa kaanza kumtuma yule mbwa wake, na kwangu kama alivyokuwa aliwafanyia wale.
Nimefanya hivyo. AhsanteReport kama bullying mods wanakua wanadelete zile comments
Hisia zako tu unahisi wanajigamba lkn kiuhalisia range za kimaisha ni ndogo ndogo tu hasa kwa tabaka la katiMajigambo on trending
Nakusubiri luv. Ila ajue mimi ni kichaa na mwehu hee. Siku nitaamka na nitaweka list hao wafungue pm zao, niwape wanayosemwa yote. Ngoja acheze na hiki kichwa. Habari ataipata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo nae anapewa airtime ya kiwaki, anatafuta umaarufu humu ndanii, afu kuna kitu hujakijuaa. Ntakudokezaa.
Hii JF ni kukaa kimastaaaa, mpuuzie huyoo atakufanya uwe banned bureeee. It seems wana jambo lao. Maana jana nlicomment kitu, kuna mtu anaulizaa wee mbona hujapigwa ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo Ban wanapewa pewa tyuuh, Lol
Usinune BL..Nilimwambia ulinitukana kwenye ID yako nyingine. Akakataa, mimi mpaka niwe kwenye mood ya kujibu mtu. Kama sina sijibu hata. Na anatumwa yaani kuna mtu, akiwa na shida nawe or ukimpotezea anamtuma huyo kibwengo. Alishafanya kwa wengine nasasa anafanya kwangu. Nitadeal nao wote wawili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sasa ana kazi ya kubadilisha watu wa kuwatumia, em mpuuzie bhanaaa. Hata asikurushe rohoo.Nilimwambia ulinitukana kwenye ID yako nyingine. Akakataa, mimi mpaka niwe kwenye mood ya kujibu mtu. Kama sina sijibu hata. Na anatumwa yaani kuna mtu, akiwa na shida nawe or ukimpotezea anamtuma huyo kibwengo. Alishafanya kwa wengine nasasa anafanya kwangu. Nitadeal nao wote wawili.
❤️❤️❤️❤️Usinune BL..
Humu usiwe mnyonge ndugu yanguNakusubiri luv. Ila ajue mimi ni kichaa na mwehu hee. Siku nitaamka na nitaweka list hao wafungue pm zao, niwape wanayosemwa yote. Ngoja acheze na hiki kichwa. Habari ataipata.