Je unauhakika kuwa, mnaferishwa, au ni system ya kiislam ambayo ina base zaidi katika, mafunzo ya kiislam na kuzembea katika masomo ya shule, mfano mtoto anakazania zaidi madrasa kuliko shule, unawezaje kufanananisha na mtoto anaye shinda shule fulltime?Hilo ni kweli kabisa. Ilifikia mpaka Waislam kupunguziwa points zao wakati Ndalichako alipokuwa mkuu wa mitihani. Waislam mpaka wakaingia mitaani kuandamana mpaka Ndalichako akaachia ngazi.
Magufuli alipoingia madarakani akatuzaba Waislam kofi la kikelb kwa kumrudisha wizara hiyohiyo na kumfanya Ndalichako awe waziri wa elimu. Hatari.
Thats good.@faizafoxy ni injinia, as far as I can recall, mtaalam wa mitambo na mawasiliano (telecommunication engineering).
Source: uzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huo upunguani. Nimekwepa nini na nimekujibu kwa muono wangu? Au kuna majibu ulishayapanga ujibiwe? Si ungenambia tu, swali hili nataka jibu hili.
Sharia haimkatazi mtu kupata elimu yeyote ile. Nadhani hafahamu kuwa hakuna dini iliyosisitiza kusoma kama Uislam. Aya ya kwanza ya Qur'an kushushwa ni "Soma".
Hivi " madrasa" unaoisikia unafikiri nini zaidi? Unajuwa kuwa neno "madarasa" la Kiswahili limetokana na hilo "madrasa"? Limit ya masomo ya madrasa ni Mwalimu au waalimu tu wanaofundishwa. Hakuna somo lisilofundishwa madrasa. Kumbuka hilo.
Neno "shule" ukienda Somalia hawalifahamu hilo, labda huyo Msomali ajuwe Kiswahili au Kijerumani kwani neno hilo limetokana na Kijerumani.
Nnaamini mtu ukiwa mjinga ndiyo unakubali kila unaloambiwa bila hata ya kufikiri au kuuliza.
Nakupongeza sana wewe kwa kuuliza kwani unaonesha unayosikia hayakuingii akilini. Hiyo ni akili nzuri.
Je unauhakika kuwa, mnaferishwa, au ni system ya kiislam ambayo ina base zaidi katika, mafunzo ya kiislam na kuzembea katika masomo ya shule, mfano mtoto anakazania zaidi madrasa kuliko shule, unawezaje kufanananisha na mtoto anaye shinda shule fulltime?
Karibu.
Kiislaam, tunaoana.Hapa naona kama lugha na maelezo ilivyotimika si sawa navyojua Ke anaolewa na Me anaowa. Au umetohoa kutoka lugha ya yule mama aliyekuwa mtawala wako wakati unazaliwa??
Any proof beyond reasonable doubts?...au hizi ni story za karumenge, essopo.. za kwenye vijiwe vya kahawa?Hilo ni kweli kabisa. Ilifikia mpaka Waislam kupunguziwa points zao wakati Ndalichako alipokuwa mkuu wa mitihani.i.
Kuoa = makubaliano kwa masharti ya upande mmoja tu.
Hizo pande mbili lazima wawe wahusika wenyewe au hata wazazi/walezi wanahusika?Kuoa = makubaliano kwa masharti ya upande mmoja tu.
Kuolewa = makubaliano kwa kukubali masharti ya upande mmoja tu.
Kuoana = makubaliano kwa kukubaliana masharti ya pande zote mbili.
Hii inadhihirisha tunayoyasema.
Kijiwe cha kahawa, mitaani huko, mbali kabisa na nyumbani.Je Jamii Forum kwako unaweza kuifananisha na sehemu gani nyumbani kwako, Sebureni kwako, Jikoni kwako, Chumbani kwako, Kibarazani kwako, Jalalani/Dust Bin ama Msalani? Na kwanini ?
Kiislam bila wenyewe kuridhika hata wazazi hawana haki ya kulazimisha. Sifahamu kwa wengine.Hizo pande mbili lazima wawe wahusika wenyewe au hata wazazi/walezi wanahusika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwenye uislamu hakuna kuoa/kuolewa?Kiislam bila wenyewe kuridhika hata wazazi hawana haki ya kulazimisha. Sifahamu kwa wengine.
nimeipenda hiiKwa sasa elimu yangu haina umuhimu kwani nimejifunza kuwa kuelimika si kwenda shule pekee. Nimeona wengi wameenda shule kusomea ujinga.
Sijaolewa. Nimeoana na mume wangu. Mpaka sasa nafahamu ni mimi tu niliyeoana nae.
Mimi ni CCM asiye na kikundi. Mengi sana ya Nyerere sikukubaliana nayo. Machache sana nilikubaliana nayo.Wewe ni ccm ipi kati ya hizi? ya mainterahamwe waunga juhudi ama ccm ya mwalimu yenye kujenga hoja madhubuti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo kama lugha tu ya Kiswahili lakini si kisharia za Kiislam.
Hii sio kweli ma mdogoIpo kama lugha tu ya Kiswahili lakini si kisharia za Kiislam.
You are smarter than I thought!!!Kwa mtazamo wangu, demokrasia ya kweli duniani hakuna kwani kila mmoja ana tafsiri ya demokrasia kivyake.
Binafsi ningependelea sana sheria ziwe juu ya kila mtu, si Rais, si yeyote yule na mahakama iwe huru haiingiliwi na yeyote yule.