Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelewa chelewa utakuta mwana si wakoNakuja na pikpik kupunguza gharama maana nautaka huo muamalaaa[emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kila siku huyu huwa ananiotaaaa
Ulivyotoa tu baadhi ya hizo code # upande wa nyanda za juu kusini. Fasta nikatuma wawakirishi upande wa ving'amuzi vya code,bila shida tukakuona wewe umevua hii nyingine hii umeweka pembeni. Na huyo mchawi. Hotel nayo tumeisoma. Nitawatembelea baadae
Najua ulupokwam poleeee sana jaman
Hujawahi kufanya swali la hisabati la mlinganyo, ukapata jibu halafu ukahakikisha ukakuta lipo sawa, raha yake unayoisikia huwaje.....Hahahahahhaha unaringa kwa sababu umefungua codeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Mhhhhhhhhhhhh............🤔🤔🤔🤔🤔Mkuu unautani na mwenye nyuzi zake pendwa Kama , vyakula tu, na walevi tu[emoji3]
Wakikujibu unistueWadau hivi "chiii" maana yake nini, nimeshindwa kumaliza kusoma na kuelewa kilichoandikwa na uandishi huu.
Ebu niache nile ujana wangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Saivi una hela sikuachi kabisaaa
Ubaki juu mawinguni
Wakikujibu unistue