Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Hahahahahhaha unaringa kwa sababu umefungua codeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo hapa nishatia timu mapema natekeleza majukumu yangu ya upenzi utazamaji[emoji3][emoji3]
 
Kuna sehemu unakwama kabisa jaribu kusoma tena code alafu inakuwaje unamsingizia mtoa code[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulivyotoa tu baadhi ya hizo code # upande wa nyanda za juu kusini. Fasta nikatuma wawakirishi upande wa ving'amuzi vya code,bila shida tukakuona wewe umevua hii nyingine hii umeweka pembeni. Na huyo mchawi. Hotel nayo tumeisoma. Nitawatembelea baadae
 
Hahahahahhaha unaringa kwa sababu umefungua codeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujawahi kufanya swali la hisabati la mlinganyo, ukapata jibu halafu ukahakikisha ukakuta lipo sawa, raha yake unayoisikia huwaje.....
 
Hahahaahahha shost code hii rahisi sana kama unakunywa supu ya pwezaaaa
Hapa tatizo sio wao kunjunjana..[emoji30][emoji30]tatizo ni kutowatambua Aiseee kichwa kizito zaidi ya 300kg
 
Back
Top Bottom