[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MI hujakosea hata robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ole wako uniseme nikusikie hehehe
Na group langu tukiishiwa pesaa na sukari tunatekenye makufuli ya kabati mpaka yanafunguka tunaiba sukari na aziwa
hahahaa" aisee ..
Mim kusoma usiku siwezi kabisaa,naweza sema kabisa muda flan tuamke na kwa msisitizo lakin wapii sijawah amka,hadi mitihan ya necta mi nilikuwa nalala tu siwezi soma usiku nna usingizi ajabuMie nakwambia vizurii uniamshe, njoo kuniamsha sasa nitakavyokugeuka hutaamini majicho yako.
Ilifikia sehemu kuiba nikaona kawaida,kuiba sukari,maziwa,kalamu,madaftari ya notice[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umetisha khaaaah!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani siku nyingine unajifanya mgonjwa unaenda hospital ya shule unalala kule ili ule wali wa wagonjwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nikuachie wanipore au wakupore
nisingekubali kitokee
kwetu walikua wanapenda matatizo ili mzee aende shule
yaani tungeenda na mzee tu kila suspaa
Nimesoma comments zote hadi hapa....
Hadi mdomo wangu ulibaki wazi kabisaaaaa....
Hahahaaa!! Hapo sawa.Teh sasa si namuombea asije akakupiga kibuti jamani
Acha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unalazwa kabisa, raha yake na mbeibe anakuletea kiepe basi rahaaaaa.
Sijambo bebi.....[emoji12] [emoji12]😀😀😀😀😀
Mzima lakini?!...
Mimi mwenyewe nilishindwa kabisaaa, tena ukija kuniamsha tutagombana kama sio mimi nilokwambia uniamshe. Usingizi mtamu jamani, walokuwa wanaamka sijui waliwezaje!!Mim kusoma usiku siwezi kabisaa,naweza sema kabisa muda flan tuamke na kwa msisitizo lakin wapii sijawah amka,hadi mitihan ya necta mi nilikuwa nalala tu siwezi soma usiku nna usingizi ajabu
Kwani unafikiri ungesoma shule hiyo hiyo ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu alikuwa na namba ya sister hivyo nikiharibu taarifa anapata. Ungeozeshwa mbona.
You cant be serious!!! Wewe kabisaaaa na ucharuko wapi na wapi!!!U-asha kisomo nilikuwa si haba teh
Kitu ambacho sikuwahi kukielewa ni kwamba levels zote nilizozisoma, baada ya muda kupita nimeanza kuzoeana na watu, majority walikuwa wananiambia hawakutegemea kama ntamaliza shule salama bila kufukuzwa au supp/disco chuo. Sura yangu imekaa kimatukio matukio sana eti,so they were expecting the worst from me. Mwisho wa siku nilijikuta nina marafiki wengi mnoo, baada ya wengi kuona I was different from mtu waliyekuwa wanamuwazia. Na hata leo baadhi ya watu wananionaga nimeshindikana mweeh.
Kanisani nilikuwa yule kiongozi mcharuko. Wapendwa wote wanasalimiana kipendwa, mimi sometimes nilikuwa naitikia "pouwah " mweeh. Baadaye ndo nikaja kuzoea sasa (aibu naona mimi)
Hahahaaa!! Kwahiyo ungenihamisha au?Kwani unafikiri ungesoma shule hiyo hiyo ?
tungekuwa shule nyingine
ungesoma na mimiHahahaaa!! Kwahiyo ungenihamisha au?
Kusoma usiku kipaji ujue. Mimi nilikua naenda prep saa nne nikifika nachaaat saa sita narudi kulala. Mambo ya usongo nilikuq siweziMim kusoma usiku siwezi kabisaa,naweza sema kabisa muda flan tuamke na kwa msisitizo lakin wapii sijawah amka,hadi mitihan ya necta mi nilikuwa nalala tu siwezi soma usiku nna usingizi ajabu
You cant be serious!!! Wewe kabisaaaa na ucharuko wapi na wapi!!!
Mie i was silent, huwezi nikuta kwenye matukio japo marafiki zangu micharuko. Sijui nilikuwa ninaepushwa au vipi sielewagi kwakweli!!!
Hujaona nilipokuqoute eeehMi ningekua wale wapolee, yaan kilaza wa class