JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Mim kusoma usiku siwezi kabisaa,naweza sema kabisa muda flan tuamke na kwa msisitizo lakin wapii sijawah amka,hadi mitihan ya necta mi nilikuwa nalala tu siwezi soma usiku nna usingizi ajabu
Mimi mwenyewe nilishindwa kabisaaa, tena ukija kuniamsha tutagombana kama sio mimi nilokwambia uniamshe. Usingizi mtamu jamani, walokuwa wanaamka sijui waliwezaje!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu alikuwa na namba ya sister hivyo nikiharibu taarifa anapata. Ungeozeshwa mbona.
Kwani unafikiri ungesoma shule hiyo hiyo ?
tungekuwa shule nyingine
 
U-asha kisomo nilikuwa si haba teh

Kitu ambacho sikuwahi kukielewa ni kwamba levels zote nilizozisoma, baada ya muda kupita nimeanza kuzoeana na watu, majority walikuwa wananiambia hawakutegemea kama ntamaliza shule salama bila kufukuzwa au supp/disco chuo. Sura yangu imekaa kimatukio matukio sana eti,so they were expecting the worst from me. Mwisho wa siku nilijikuta nina marafiki wengi mnoo, baada ya wengi kuona I was different from mtu waliyekuwa wanamuwazia. Na hata leo baadhi ya watu wananionaga nimeshindikana mweeh.

Kanisani nilikuwa yule kiongozi mcharuko. Wapendwa wote wanasalimiana kipendwa, mimi sometimes nilikuwa naitikia "pouwah " mweeh. Baadaye ndo nikaja kuzoea sasa (aibu naona mimi)
You cant be serious!!! Wewe kabisaaaa na ucharuko wapi na wapi!!!

Mie i was silent, huwezi nikuta kwenye matukio japo marafiki zangu micharuko. Sijui nilikuwa ninaepushwa au vipi sielewagi kwakweli!!!
 
Mim kusoma usiku siwezi kabisaa,naweza sema kabisa muda flan tuamke na kwa msisitizo lakin wapii sijawah amka,hadi mitihan ya necta mi nilikuwa nalala tu siwezi soma usiku nna usingizi ajabu
Kusoma usiku kipaji ujue. Mimi nilikua naenda prep saa nne nikifika nachaaat saa sita narudi kulala. Mambo ya usongo nilikuq siwezi
 
Teh hadi leo, nikifika mahali kabla sijazoeana na watu, siongeagi kabisa, kasura nakadogodisha kaonekane ka upole, ila still nakuwaga defined as mkorofi. Nikishaanza kuzoeana na watu ndo wanaanza kunipa stories za walivyokuwa wananiona. Sasa sijui ni kwa sababu ya sura hii ya mjomba mweeh. Yani sinaga matukio, ila ukisema HS mpole watu wataandamana kichura chura. Nyumbani walinipa nickname "anna kansiime " na upole wote huu hahahahah

Nikiwa na marafiki zangu, me ndo naonekanaga mtukutu jamani mweeh
You cant be serious!!! Wewe kabisaaaa na ucharuko wapi na wapi!!!

Mie i was silent, huwezi nikuta kwenye matukio japo marafiki zangu micharuko. Sijui nilikuwa ninaepushwa au vipi sielewagi kwakweli!!!
 
Back
Top Bottom