JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!



No wonder they were expecting different from you..

Yaani mtu anakusalimu Bwana Asifiwe, unajibu, 'POUWA'

T ake bhanaaa!...LOL! 😀
 
Acha uongo mkuu
 
Hahahaaaa!! Huo ucharuko umerithi kwa baba yako Kaboom maana mama yako mpoleeee.
 
Kwingine bwana. Kuna nywele inauzwa laki na nusu nikakwambia ile advance ulipie hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si ndio kwenye uzi wa jana?
Ule uzi kwangu ulizingua niliona notification yako lkn nikiingia haufunguki,
 
Mimi mwenyewe nilishindwa kabisaaa, tena ukija kuniamsha tutagombana kama sio mimi nilokwambia uniamshe. Usingizi mtamu jamani, walokuwa wanaamka sijui waliwezaje!!
Yaan mi hata nilale siku nzima ,wengine hukosa usingizi lakin mi ikifika saa 4 usiku kama sina mtoko nalala usingizi kamwee
 
Teh hapo ni kiongozi wa dini, dada mtumishi nilikuwa nazingua sana. Nakuja kushtuka kumbe nishajibu pouwah, mweeh. Ila hiyo ilikuwa wakati wengi washanizoea, angalau ukiniongelea differently wanakushangaa tu.
No wonder they were expecting different from you..

Yaani mtu anakusalimu Bwana Asifiwe, unajibu, 'POUWA'

T ake bhanaaa!...LOL! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…