Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Kwenye ule uzi wa jana?Hujaona nilipokuqoute eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ule uzi wa jana?Hujaona nilipokuqoute eeeh
U-asha kisomo nilikuwa si haba teh
Kitu ambacho sikuwahi kukielewa ni kwamba levels zote nilizozisoma, baada ya muda kupita nimeanza kuzoeana na watu, majority walikuwa wananiambia hawakutegemea kama ntamaliza shule salama bila kufukuzwa au supp/disco chuo. Sura yangu imekaa kimatukio matukio sana eti,so they were expecting the worst from me. Mwisho wa siku nilijikuta nina marafiki wengi mnoo, baada ya wengi kuona I was different from mtu waliyekuwa wanamuwazia. Na hata leo baadhi ya watu wananionaga nimeshindikana mweeh.
Kanisani nilikuwa yule kiongozi mcharuko. Wapendwa wote wanasalimiana kipendwa, mimi sometimes nilikuwa naitikia "pouwah " mweeh. Baadaye ndo nikaja kuzoea sasa (aibu naona mimi)
Kwingine bwana. Kuna nywele inauzwa laki na nusu nikakwambia ile advance ulipie hapoKwenye ule uzi wa jana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ungesoma na mimi
yaani ungeletwa shuleni kwetu
Sijambo bebi.....[emoji12] [emoji12]
Pole na majukumu...[emoji39] [emoji39]
Acha uongo mkuuSie mabweni yalikuwa yanafungwa na na viranja wa mabweni sasa mmoja alikuwa rafiki yetu ikifka siku hatutaki kwenda class anatufungia nje na kufuli tunalala weee ikitokea msala tunaingia kwenye malocker tunafungiwa na makufuli ,ukiliona loka ni dogo unakaa style mpaka unatoshaa,wakichelewa kukufungulia unatoka humo hoiiiiii
Hahahaaaa!! Huo ucharuko umerithi kwa baba yako Kaboom maana mama yako mpoleeee.Teh hadi leo, nikifika mahali kabla sijazoeana na watu, siongeagi kabisa, kasura nakadogodisha kaonekane ka upole, ila still nakuwaga defined as mkorofi. Nikishaanza kuzoeana na watu ndo wanaanza kunipa stories za walivyokuwa wananiona. Sasa sijui ni kwa sababu ya sura hii ya mjomba mweeh. Yani sinaga matukio, ila ukisema HS mpole watu wataandamana kichura chura. Nyumbani walinipa nickname "anna kansiime " na upole wote huu hahahahah
Nikiwa na marafiki zangu, me ndo naonekanaga mtukutu jamani mweeh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]No wonder they were expecting different from you..
Yaani mtu anakusalimu Bwana Asifiwe, unajibu, 'POUWA'
T ake bhanaaa!...LOL! 😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si ndio kwenye uzi wa jana?Kwingine bwana. Kuna nywele inauzwa laki na nusu nikakwambia ile advance ulipie hapo
Tuma no basi..Kwingine bwana. Kuna nywele inauzwa laki na nusu nikakwambia ile advance ulipie hapo
Yaan mi hata nilale siku nzima ,wengine hukosa usingizi lakin mi ikifika saa 4 usiku kama sina mtoko nalala usingizi kamweeMimi mwenyewe nilishindwa kabisaaa, tena ukija kuniamsha tutagombana kama sio mimi nilokwambia uniamshe. Usingizi mtamu jamani, walokuwa wanaamka sijui waliwezaje!!
No wonder they were expecting different from you..
Yaani mtu anakusalimu Bwana Asifiwe, unajibu, 'POUWA'
T ake bhanaaa!...LOL! 😀
hahaa" humu kuna watu wana visa mnooo madame " vumilia tu" ucheke uongeze siku za kuishi kama wasemavyo wahenga;, bhaaasiHahhaah!, haki ya nani. Mpaka nimeogopa kum quote imebidi nim quote kupitia wewe...lol!
Hahahaaaa!! Huo ucharuko umerithi kwa baba yako Kaboom maana mama yako mpoleeee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli sijui nani kaniharibia mtoto.
Yaan mi walivyosema unaenda shule kukua nilikuwa kundi hilo,prepo ni story tu za umbeaKusoma usiku kipaji ujue. Mimi nilikua naenda prep saa nne nikifika nachaaat saa sita narudi kulala. Mambo ya usongo nilikuq siwezi
Mimi nilienda kusoma ila nilikua siwezi kusoma jamani. Kwanza niko PCM prepo nilikua naenda na HGL nikapige umbea.Yaan mi walivyosema unaenda shule kukua nilikuwa kundi hilo,prepo ni story tu za umbea
Uliza walosoma Umoja Sec.NsimboAcha uongo mkuu
Kazi iko Hkl kwa umbea tuliongozaaaMimi nilienda kusoma ila nilikua siwezi kusoma jamani. Kwanza niko PCM prepo nilikua naenda na HGL nikapige umbea.
Acha uongo mkuu ... Tumemaliza wote pale nyantendyo ... Mchamba wima iringa ... Ulkua unankataa nkikutokeaUliza walosoma Umoja Sec.Nsimbo
AhahahhahaAcha uongo mkuu ... Tumemaliza wote pale nyantendyo ... Mchamba wima iringa ... Ulkua unankataa nkikutokea