JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Mkuu ilibid tupewe likizo ya siku mbili kurecovery, ulikuwa ukibahatika kuingia chooni hotoki ng'o. Watu walijisaidia kila sehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona ku-think
Hahaha, mpaka maticha waliupata huu msemo, maana kuna siku ticha anafundisha economics kuna mtu akawa anasinzia, ticha kutwambia tumwamshe tukamjibu eti ana-think.

Ticha alicheka mpaka basi.
 
Mmbea wa hiyo skuli angekua ni warumi anasupply umbea o level mpaka advance.. Sisi wengine tungekua ndo wale hamjui kama tunasomaga wote darasa moja ila tunakutanaga kwenye pepa tuu
 
[emoji17][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii Kali hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…