Sijawahi kuwa serious kwako ujue. Sema nina ujinga zaid ya unao uonaKwa hiyo mimi unanikaziaga siyo?
Wale samaki mimi sasa nilikua naanza nao kwa wapishi. Halafu rafiki yangu alikua food leader sasa alikua anakuja nao bwenini. Ilifikia point nikisikia harufu ya wale samaki natapika. Mkoa wa Pwani tuliwafaidi sana wale samakiMnakumbuka sakata la samaki wa Magufuli, mwishoni ilibidi wagawe mashuleni hasa ya mkoa wa Dar na pwani. Tuliletewa shuleni kwetu baada ya kula tulihara shule nzima.
Hahaaa!no inspection sie tulikua tunaita Open university!! Shule kama hizoooMi nlikuaga naongeaga tu na wachumba zangu wa Kibaha Boys na beb wangu mtu maarufu fulani hivii... sema shule yetu tulikua tunaishi kama chuo yani...
Toka nasoma mpaka namaliza hakukuwahi kuwa na inspection jamaniHahaaa!no inspection sie tulikua tunaita Open university!! Shule kama hizooo
Tulipatia msemo hapo, ukimkuta mtu prep anasinzia unamtania naona una-think.
Au mwenyewe anakujibu niko na think.
Nikionaga hii kauli mbiu ya Great Thinkers namkumbuka jamaa.
Utakua na sura ya utukutu lazima. Mi naonekanaga serious ila nahisi hamna mtu mjinga kama mimi nikiwa na watu ninaowaamini...
Mwalimu wetu wa Biology alikuwa anaongea kama anasinzia, na vipindi vyake vya mchana. Hivyo kusinzia ni given hapo ushashiba chai mihogo. Ili usisinzie inabidi uandike maneno anayochapia maana alikuwa anachapia balaa. Akiondoka tunayaandika ubaoni.
Mtu angeniambia ningekuja kuwa mwalimu sikubali aisee.
Was kidding to you, ulikuwa serious first day for just 33 minutes.Sijawahi kuwa serious kwako ujue. Sema nina ujinga zaid ya unao uona
Basi marafiki zako walikua staki shule..Teh imebidi nijiangalie kwa kioo, mbona sina sura ya utukutu sana jamani mweeh. Na tukizoeana napenda sana kucheka kama mwehu
Hahaaa kwa mineno yake mie kuniambia eti alikua mtundu nagomaa kabisaa huyu ni mama mchungaji kabisaa
Mchana ticha yumo class, usiku ndo prep.Maskini kwani mbona hata mchana watu wanasomaa!!si angesoma tuu!!hahaahaa!!miye kujitesa siwezagii
I was a good student, so kupendwa kulikuwepo sana tu. Ila honestly upole unaouwaza wewe binamu, me sina kabisa. Ila pia sio mtata kama watu wanavyoassumeHahaaa!haya maneno yanatoka kwa mpole Fulani amazing yaani walimu huyo ndo sample yao kuanzia daftari yake mpk vitendo full kupendwaaa
Hahahahaaaa....nilikuona chizi mwenzanguWas kidding to you, ulikuwa serious first day for just 33 minutes.
Hapana, sasa rafiki zangu wao wote walikuwa wanaonekana wapole, afu me ndo katukutu. We all liked school. I guess personality yangu ipo controversial kidogo, kwa sababu hata hao marafiki zangu, before walikuwa na perceptions tofauti kabisa juu yangu. Baada ya kuwa friends ndo wakawa wananiambia "yani nilikuwa nakuona blah blah".Basi marafiki zako walikua staki shule..