Teh hadi leo, nikifika mahali kabla sijazoeana na watu, siongeagi kabisa, kasura nakadogodisha kaonekane ka upole, ila still nakuwaga defined as mkorofi. Nikishaanza kuzoeana na watu ndo wanaanza kunipa stories za walivyokuwa wananiona. Sasa sijui ni kwa sababu ya sura hii ya mjomba mweeh. Yani sinaga matukio, ila ukisema HS mpole watu wataandamana kichura chura. Nyumbani walinipa nickname "anna kansiime " na upole wote huu hahahahah
Nikiwa na marafiki zangu, me ndo naonekanaga mtukutu jamani mweeh