JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Enzi nikiwa nasoma , mabweni yote yalikuwa yananiita DADA yaani. Nilikuwa nachamba, nasuta acha kabisa. Ukija kushtakiwa kwangu huna bahati.
Cha ajabu siku hizi nimekuwa mpole sana.
 
Enzi nikiwa nasoma , mabweni yote yalikuwa yananiita DADA yaani. Nilikuwa nachamba, nasuta acha kabisa. Ukija kushtakiwa kwangu huna bahati.
Cha ajabu siku hizi nimekuwa mpole sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniii
 
I was a good student, so kupendwa kulikuwepo sana tu. Ila honestly upole unaouwaza wewe binamu, me sina kabisa. Ila pia sio mtata kama watu wanavyoassume
Upole kwakweli mwanangu hauna kabisaaa, ni vile watu hawakuelewi[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ila pia sio mkorofi but una misimamo na unajitambua. Unajua watu wenye misimamo yao huwa wanaonekana watataaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, sasa rafiki zangu wao wote walikuwa wanaonekana wapole, afu me ndo katukutu. We all liked school. I guess personality yangu ipo controversial kidogo, kwa sababu hata hao marafiki zangu, before walikuwa na perceptions tofauti kabisa juu yangu. Baada ya kuwa friends ndo wakawa wananiambia "yani nilikuwa nakuona blah blah".
I see meeeee[emoji8] [emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom