Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Wewe mchoyo umeshindwa niita kabisa af unaniita rafiki yako kipenzi 😢😢Siku yangu ilikua nzuri leo
Nimespend na rafiki yangu kipenzi 🥰Tumekula vinono😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mchoyo umeshindwa niita kabisa af unaniita rafiki yako kipenzi 😢😢Siku yangu ilikua nzuri leo
Nimespend na rafiki yangu kipenzi 🥰Tumekula vinono😋
😂😂😂 kaka hapo umetoa sadaka kula chakula lalaDah ebwana nimepangwa hapa mpaka sasa hivi mchuchu haujatimba magetoni wakati ndio nishajiboost, maji kwa wingi mixer pushup nyingi kujiweka fiti..hivi hawa viumbe wana matatizo gani?
Smekupa nani? 😂😂Ilikua safi sana with some sweet chocolate cake 😋😋😋
Bwana wee..na ole wake ayakanyage jasho la maji litakata atoe chumvichumvi mbwa huyuNa usafi umeufanya utadhani wanakuja watu wa mazingira na afya🤣
Hahaa nitakuita next weekendWewe mchoyo umeshindwa niita kabisa af unaniita rafiki yako kipenzi 😢😢
Dah pole af kesho tena watoto wasio wako wakusumbueLeo meshinda ndani na mwanangu.....japo kasumbufu kweli🙄
Inasikitisha 😔Dah pole af kesho tena watoto wasio wako wakusumbue
Hapo sasa imekaa good nitakuja chap sanaHahaa nitakuita next weekend
🤣 uwe unajiandaa na plan A, B ,C ikifeli A unaaply BBwana wee..na ole wake ayakanyage jasho la maji litakata atoe chumvichumvi mbwa huyu
Pole sasa utafanyaje na ndio kazInasikitisha 😔
Na wewe una mtotoLeo meshinda ndani na mwanangu.....japo kasumbufu kweli🙄
Huyu ni type ya man ambao wana demu mmoja akifa kashakuwa mgane 😂😂😂🤣 uwe unajiandaa na plan A, B ,C ikifeli A unaaply B
No way out bro.....nikapige Kaz nisubiri dharau za wazaziPole sasa utafanyaje na ndio kaz
ikia best haya yana mwisho sawaNo way out bro.....nikapige Kaz nisubiri dharau za wazazi
Ndio shida ya kudate na under21..madude yetu ya above 30 hayanaga ujinga huu tena yanafika mapemaaa🤣 uwe unajiandaa na plan A, B ,C ikifeli A unaaply B
Sawa, AsanteS
ikia best haya yana mwisho sawa
Demu mmoja alafu haeleweki ni kubahatisha, lazima ufanye sana usafi na kuja hajiHuyu ni type ya man ambao wana demu mmoja akifa kashakuwa mgane 😂😂😂
YaleyaleHapa kuna msiba kwa jirani. Mtoto wa jiran kaiba sinza huko wamemnywesha maji ya moto ba pilipili, wakampiga panga kichwani na kumtoboa macho. Maiti iko mwananyamala hospital. .
Very sad 😔
Sio kweli mkuu siku ya kufanyani miti yote uteleza mkuuHuyu ni type ya man ambao wana demu mmoja akifa kashakuwa mgane 😂😂😂