JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

Yeah i am kinda annoyed right now. Sinza hawaaxhagi wezi Salam kuna mmoja alikuw ananiibia. Ila aliiba sinza akapigwa msumari kichwani akaambiw aende zake hakufika hata nyumba ya nne 😔
au wanawachekecha kuwachangaby maini na firigisi.

Wazazi wanaumia sana. .
Duh..!!, Mbona wanaua kikatili sana?, Hata isis anaonekana mtakatifu
 
Back
Top Bottom