Mweee usini zeeshe sina mtoto mwenye ndevu kila konaπ π πUjue mimi last born wako af unaniita ivyo
Leo unanikataa mwanao wa usichana wako πππMweee usini zeeshe sina mtoto mwenye ndevu kila konaπ π π
Hakuweko ofisini ni Boss kwahiyo unaweza kanyaga hata wiki usionane naePole sana why
Hakuweko ofisini ni Boss kwahiyo unaweza kanyaga hata wiki usionane nae
Ebhana leo siku imeenda poa asana nimecheka sana nimeamua ugomvi na nimepiga sana stor now ndio nimerud home maswali ya hapa na pale mwishoe maelewano yapo kama kawa natafuta pozi nianze kuangalia forensic science na the fbi files mpka nilale.
Wenye mapito mabaya leo nipende kuwapa moyo kesho itakua siku njema kwenu.
Leo unanikataa mwanao wa usichana wako ππππ π π π π
KaribuNgoj nije kesho kula ubwabwa mama
Andaa ka kuku wa kuchoma awe wa kienyeji na pepsi ya baridipKaribu
Mmeachana?Siku yangu ilikuwa poa sana ila huyu mwanamke akataka kuiharibu .Nimemuacha aongee peke yake.Nimefurahi sana kumuona binti yangu.
Hapana nilimuacha nyumbani aongeee peke yake,mi nkaenda zangu kuzurula hukoo .Si alikuwa anajifanya kajiunga kifurushi cha mwezi cha kuongea.Mmeachana?
Siku ya leo nzito unakarobia kufa?πSiku ya leo
Mzito san
Acha kabisa mpaka sasa nipo polini mpaka napandwa na hasiraSiku ya leo nzito unakarobia kufa?π
mi mwenyewe jau hapa nimeshindia ndizi mbivu mwananguAcha kabisa mpaka sasa nipo polini mpaka napandwa na hasira
Duh pole ase ila mbeye buku unashiba ndindimi mwenyewe jau hapa nimeshindia ndizi mbivu mwanangu
buku ngum sana kuipata mimi ni joblessDuh pole ase ila mbeye buku unashiba ndindi
Boom ushamalizabuku ngum sana kuipata mimi ni jobless
sina boomBoom ushamaliza