Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
Warda acha Basi😀😁, ni jambo jema tu.Eti kuna wengi tu hawapo tokea mwaka uanze, na hawauliziwi!!!
Ana lake jambo[emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Weee,😳 sema kweli?
[emoji23][emoji23]Hapo ana jambo lake mie sitii neno [emoji1787]
Acha hizo bhana😀😁
Kuhusu dahan siameolewa jamani ukaibiwa jamani silazima uweke kambi uliibwaUnique Flower uko wapi jamani,, uje utupe maelekezo kipenzi
I mean no malice to nobody, japo kitambo Sana.Nimefurahi tu kuona una upendo na Binadamu wenzio mkuu....ni jambo jema sana
Kaolewaa na nani??, Lini??Kuhusu dahan siameolewa jamani ukaibiwa jamani silazima uweke kambi uliibwa
👊I mean no malice to nobody, japo kitambo Sana.
Ila uli kasirikia nini 🤔
SawaKuhusu dahan siameolewa jamani ukaibiwa jamani silazima uweke kambi uliibwa
Sasa wewe ukiibiwa najasusi kama wewe siunaolewa tu mnasubiria nini ila ataolewa soon wameshaona wazazi na soon watawowanaKaolewaa na nani??, Lini??
Una muamini 🤔, huyo pimbi Maua Unique FlowerSawa
Story zangu kuzichukulia seriously mpaka kuniattack....mi huwa napenda mtu ajionaye amekamilika aniachie dhambi zangu mkuuIla uli kasirikia nini 🤔
Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,Ohhh Ume Anza kufukua makaburi[emoji848][emoji3]
Nilijua chanzo ni hichoo tu, but Iam sorry🙏.Story zangu kuzichukulia seriously mpaka kuniattack....mi huwa napenda mtu ajionaye amekamilika aniachie dhambi zangu mkuu
Kumbe we wa kitambo kunizidi ee jf🤭Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,
@Demiss alikuwa anabebishana na mzee wetu Mshana Jr[emoji23]
Na nilikuwa nawafuatilia sana,na wale wa cc.....inasikitisha sana.
Nilikuwa nisipoingia jf nilikiwa nahisi homa,
Kuna mzee mmoja wa kuitwa pididy Sijui,
Kulikiwaga na yule wakuitwa DJ SEPETU,alikuwa ana Interview kule chit chat[emoji23][emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Lara 1Zime pita siku, wiki na Sasa miezi kadhaa ndugu zetu Hawa hawaonekani???.
[emoji117]Je wame badilisha I'd???,
[emoji117]Wazima au wagonjwa??
[emoji117]Wame amua kustaafu ??
View attachment 2718255
Dah una onekana we mkubwa🤔, una miaka mingapi Sasa hivi??Nilikuwa nawafuatilia sana enzi hizo kabla sijajiunga jf ilikuwa mwaka 2013,
@Demiss alikuwa anabebishana na mzee wetu Mshana Jr[emoji23]
Na nilikuwa nawafuatilia sana,na wale wa cc.....inasikitisha sana.
Nilikuwa nisipoingia jf nilikiwa nahisi homa,
Kuna mzee mmoja wa kuitwa pididy Sijui,
Kulikiwaga na yule wakuitwa DJ SEPETU,alikuwa ana Interview kule chit chat[emoji23][emoji23]
Dah sijui wazima au wame change I'd🤔Lara 1