To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe wewe ni mkubwa? Intelligent businessman Mwachiluwi mshamba_hachekwi ni wa 2006🤣🤣🙈😅😅😅😅🫣🫣🫣🫣🫣... mie simo kwenye list ya wavulana.. au nikimbie jukwaaa 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe wewe ni mkubwa? Intelligent businessman Mwachiluwi mshamba_hachekwi ni wa 2006🤣🤣🙈😅😅😅😅🫣🫣🫣🫣🫣... mie simo kwenye list ya wavulana.. au nikimbie jukwaaa 🤣🤣🤣
😒😒😒😒.. kesho twende mahala pa kitimoto nzuri na ka wine kwanzaaa... ila si unajua dada yangu.. mie comedianTatizo ulichonikataza ndicho ukaendelea kunifanyia.....ukoloni mamboleo huo🙄
Nipo free sema ni wewe tu ulivunja Sheria Kwa makusudi😅😅😅😅 shemeji akutibie.. anakukaba sana sasa hivi.. kakutaza hata ku chart na sie
😅😅😅😅... sema nini nakukubali mwanangu.. goja nilale .. sijalala wala.kusinzia..
🤣🤣🤣🤣 Utanipitia wewe🤒...... Intelligent businessman save me please.....pleaseee🎷😒😒😒😒.. kesho twende mahala pa kitimoto nzuri na ka wine kwanzaaa... ila si unajua dada yangu.. mie comedian
Intelligent businessman kaniambia au basi.. 😅😅😅😅Nipo free sema ni wewe tu ulivunja Sheria Kwa makusudi
Pole sana,Najua unachoka.Ok,ngoja niamke nikajiandae.Bye😅😅😅😅... sema nini nakukubali mwanangu.. goja nilale .. sijalala wala.kusinzia..
😅😅😅 thunaaaa🤣🤣🤣🤣 Utanipitia wewe🤒...... Intelligent businessman save me please.....pleaseee🎷
Kawaida sana.....wanasema hivyo waambie wachangamkie fursa pia....wakisema wao wametulia bas waambie wamind their business 🥴Intelligent businessman kaniambia au basi.. 😅😅😅😅
Nikuache hapa tunaweza piga story.. kesho nikaanzishiwa story mpya.. nimepewa mkeka mrefu sana nilio lala nao JF hadi nimeogopa.. kuna wengine hatujawai hata onana.. dah.. humu napashimwa
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌... jiandae ila mchana tukale kitimoto..Kawaida sana.....wanasema hivyo waambie wachangamkie fursa pia....wakisema wao wametulia bas waambie wamind their business 🥴
👍🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌... jiandae ila mchana tukale kitimoto..
🤣🤣🤣🤣Mnyaturu huyu ni noumaaDah Kama mwema aise🤣😂
Ahahaha sis madogo janja
Kamcheki Basi mkuu, maana Sina access ya kwenda tanga kwa Sasa.Inabidi niende kwake mchukuuni nikamsalimie madame S
We nawe Ume Rogwa😂😃😃🤣wapo mbeya kwa kesi ya uhaini
Daah kocha acha kunisnitch 😂🤣😃😁
Kabadilishaneni uzoefu🤣😃😂🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣Mnyaturu huyu ni noumaa
We ni zee 😂😃🤣Ahahaha sis madogo janja