Jf members mpunguze uongo kidogo

Naanza na hawa hapa:
Mbao za Mawe
mpwayungu village
Zero IQ
BIL lugano
 
Peleka ujinga wako wa darasa la 7B mkajadiliane na wajinga wenzio. Sisi wajinga wenye PhD zetu ujinga wetu tunaujua wenyewe
wewe ndie darasa la 7c kabisa
PhD haina sifa kama hizi, vingnevyo hauitendei haki
 
hahaha vijana wanaishi ndoto hewa
 
[emoji3][emoji3][emoji3] umeifanya friday yangu
God bless you.
 
Acha Wivu ziwe za mkopo ziwe zakuokota nawewe kaokote ... na kazi nakuja kuomba maana maisha yanachange anytime 🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Wengi wao ni watoto wadogo tu
 
Njoo nikuajiri kwenye mojawapo ya showrooms zangu.... Mshahara mnono kabisa
haina haja, hyo nafasi wape vijana wa karibu yako itapendeza sana.

location tafadhali
 
Sahih kbsa mmoja wao Ni

mpwayungu village huyu bwan CYO wa kumtilia mkwazo kwa story yoyote
 
Anzisha list tutakusaidia kuongeza tunawajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…