DemiHebu ongeza wengine
- Masanilo a.k.a Rev. Masanilo
- BAK a.k.a Bubu Ataka Kusema
- klorokwini
- kwinini
- Numbisa
- Nazjaz mfuga majoka
- Jemima Mrembo
- Sumbalawinyo
- @kidukulilo
- Bill Lugano a.k.a tajiri
- litutumbwe
Punguza vurugu,,,we mkorofi sanaKuna id moja imelike comment yangu afu ni RIp nimeshutuka sana
Nipo Mkuu
Lo wewe Ukipotea humu lazima uanzishiwe uzi wa blah blah blah!
Mambo yao waachie wenyewe sweetheart yasikuumize kichwa...Lo wewe Ukipotea humu lazima uanzishiwe uzi wa blah blah blah!
Mark My words!
Sema wengine wanaacha IDs zao za zamani wanaibuka kivingine
Mara moja moja wakuje kutusabahi banaa
Yuko wapi barafuLo wewe Ukipotea humu lazima uanzishiwe uzi wa blah blah blah!
Mark My words!
Sema wengine wanaacha IDs zao za zamani wanaibuka kivingine
Mara moja moja wakuje kutusabahi banaa
BAK huyo nilituma PM kumtafuta. Umetaja wote ukamsahau barafu
Daudi MchambuziHebu ongeza wengine
- Masanilo a.k.a Rev. Masanilo
- BAK a.k.a Bubu Ataka Kusema
- klorokwini
- kwinini
- Numbisa
- Nazjaz mfuga majoka
- Jemima Mrembo
- Sumbalawinyo
- @kidukulilo
- Bill Lugano a.k.a tajiri
- litutumbwe
Hapa kuna uwezekano mkubwa sana.πWengine bado wapo ila waliamua kureset mileage kwa kuja na ID mpya ikiambatana na persona mpya.
Yuko wapi huyu, kaotea siku nyingi, Kuna siku nilimuona kwenye kipindi Cha kitafuta vipaji vya kuimba karaoke clouds tv, sijui kaishiaje, alikuwa vizuri sana na story zake za ubea, namkubali sana, hivi hakuna member yeyote anaemjua alipo kweli, maana alikuwa famous sana kipindi Kila itakuwaje asiwe na rafiki wa karibu humu, au alimwambia asiseme alikojichimbia. Alikuwa na contant zilizonyookaLara1
Mo 11 namkubali sana pia kulikuwa na yule gudume amehamia Twitter siku hizi.