Miaka 44 toka huyu mwamba atutoke
Marehemu MBARAKA MWiNSHEHE MWARUKA
ALIFARIKI TAREHE12-1-1979 akiwa na miaka 34
View attachment 2486554
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Morogoro kuna Mtaa unaitwa NUNGE.
Mtaa wa NUNGE una ukumbi alikokuwa anatumbuiza MBARAKA na wenzake, enzi hizo ukiitwa "holofea" na Waluguru wakinaanisha "SOCIAL WELFARE" na baadae ukaitwa DDC.
Ukumbi umekarabatiwa na kujengwa Ghorofa, kwa sasa unaitwa MBARAKA MWISHEHE!
Bukoba haijabadilika, hapo almost pako hivohivoKwa wale wenyeji wa Mkoa wa Kagera, hapa ni Bukoba mjini mwaka 1972View attachment 2488354
Hii pisi kali sana
Tanga iko kila nyanja!Josef Mambo (katikati), aliyezaliwa mwaka 1885 Tanga, Afrika Mashariki, na kununuliwa hadi Ujerumani akiwa mtoto mwaka wa 1897, na aliwahi kuwa mpiga ngoma kwenye 3rd Prussian Horse Grenadiers. Wakati wa Vita vya Kwanza vya Kidunia, alipandishwa cheo hadi sajini na alijeruhiwa mara mbili, mara moja nchini Urusi, na mara moja huko Verdun.View attachment 2506595
Missed these bold colours!Air Tanzania Mwaka 1983 [emoji3575]View attachment 2488294
Watu wanatoka mbali!
Ndo huyo hapo 2pac
Wamejaaliwa maisha marefu, inapendeza!
Kaks80's Bulgaria SophiaView attachment 2341746
Love this duo, RIP!