JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Sherehe za Uhuru,1961.
Flypast ya Jet fighters 6 katika formation baadaye ukasikika muungurumo kama wa radi ghafla likaonekana dege kubwa aina ya Vulcan(ilikuwa haijawahi onekana Tanganyika) likapita chinichini likasalute na kurudi zake Nairobi.(Tanganyika kulikuwa hakuna uwanja wa kutua hili dege.
 
Hii mitandao imekuja haribu mambo yote
Enzi zetu ilikuwa mnapo kutana mambo yanaishia hapo hapo ukiona kainamisha kichwa chini kisha ingia kwenye uwanja wa mapambano kazi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…