JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

May be an image of 4 people, people standing and suit
 
Bibi Tatu binti Mzee - mmoja wa wanawake waasisi wa kwanza TANU. Bibi Tatu binti Mzee, Titi Mohamed na Halima Hamisi walikuwa waasisi wa kwanza wa kike kuingia TANU na walikuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya TANU.
“Tulikuwa tunakutana kwa Hamza (Mwapachu) na Sheneda (Plantan) ndiye alikuja kutuambia kuwa TANU inatafuta kina mama manake wakati ule wanaume tu ndo walikuwa kwenye TANU” ~ Bibi Tatu binti Mzee (Two Afrikan Statemen- John Hatch)

Mohamed Said
May be a black-and-white image of 1 person
 
Back
Top Bottom