Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Watangazaji wa Radio Tanzania walikuja Cairo Egypt kujifunza mambo ya Television miaka ya 80 mmoja kati ya hao ni Abdallah Mlawa,
Yupo na Segumba mtoto wa mzee wa Simba Habibu Segumba au Underline,alikuwa na Taxi yake 404 Simba lialia alikuwa anasahau mpaka wapi ka Park gari,mwingine ni msafiri mwenzetu wakuitwa Lupa....Down Town Cairo.
Yupo na Segumba mtoto wa mzee wa Simba Habibu Segumba au Underline,alikuwa na Taxi yake 404 Simba lialia alikuwa anasahau mpaka wapi ka Park gari,mwingine ni msafiri mwenzetu wakuitwa Lupa....Down Town Cairo.