JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

No photo description available.
 
Timu ya Taifa baada ya kuchukua kombe la Challenge, Syllersaid Salimin Kahema Kangero MZIRAY aka Super Coach akiwa Kocha.
ilikuwa mwaka 1994 sina hakika na mwaka. Rest in Peace SillaMziray,

PICHANI
Sylversaid
Marehemu REGINALD Mengi
Prof Philemon Sarungi
Mzee Hussein Mwinyi[Rais wa Tanzania by then]
Kusenha
Azim Dewji,
Marehemu Said Mwamba 'KIZOTA"
Mwanamtwa Kihwelo
Sekilojo Chambua
Lunyamila Jonas Edibily
Steven Nemesi
Masha
Etc etc
JamiiForums1656264385.jpg
 
LEO KTK HISTORIA YA SOKA LA TANZANIA: Mwaka 1988 ulikuwa mwaka wa klabu kongwe za mjini Tanga yaani African Sports (Wanakimanumanu) na Coastal Union (Wanamangushi au Mbweha wa Tanga). Enzi hizo Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) ndio ilitujuza.
 



LEO KTK HISTORIA YA SOKA LA TANZANIA: Mwaka 1988 ulikuwa mwaka wa klabu kongwe za mjini Tanga yaani African Sports (Wanakimanumanu) na Coastal Union (Wanamangushi au Mbweha wa Tanga). Enzi hizo Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) ndio ilitujuza.
 
View attachment 2553892


LEO KTK HISTORIA YA SOKA LA TANZANIA: Mwaka 1988 ulikuwa mwaka wa klabu kongwe za mjini Tanga yaani African Sports (Wanakimanumanu) na Coastal Union (Wanamangushi au Mbweha wa Tanga). Enzi hizo Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) ndio ilitujuza.

 
Back
Top Bottom