Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #4,941
Kwa wale wahenga kama Mimi mnakumbuka ngoma ya mdundiko
Ngoma ambayo ilitikisa sana jiji la Dar es salaam kwa kuzoa watu hasa kina mama na watoto
Ngoma hii kabla ya kuitwa mdundiko ilikuwa inaitwa mganda ngoma maarufu sana enzi zile kwa sisi wazaramo,ila kutokana na mapigo yake kubadilisha ndiyo ukaitwa mdundiko
Kwa Mimi ambaye niliishi maeneo ya Ilala nawakumbuka wapigaji wa ngoma hii yaani wale waliopiga ngoma kubwa
Mzee kwaile
Mzee ng'obwe
Mzee maleft
Hawa ndiyo walikuwa maarufu sana makazi yao yalikuwa Buguruni
Baadaye ngoma ya vanga ambaye nayo ikaitwa mkinda nayo walipiga mdundiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma ambayo ilitikisa sana jiji la Dar es salaam kwa kuzoa watu hasa kina mama na watoto
Ngoma hii kabla ya kuitwa mdundiko ilikuwa inaitwa mganda ngoma maarufu sana enzi zile kwa sisi wazaramo,ila kutokana na mapigo yake kubadilisha ndiyo ukaitwa mdundiko
Kwa Mimi ambaye niliishi maeneo ya Ilala nawakumbuka wapigaji wa ngoma hii yaani wale waliopiga ngoma kubwa
Mzee kwaile
Mzee ng'obwe
Mzee maleft
Hawa ndiyo walikuwa maarufu sana makazi yao yalikuwa Buguruni
Baadaye ngoma ya vanga ambaye nayo ikaitwa mkinda nayo walipiga mdundiko
Sent using Jamii Forums mobile app