Hapa pia Maxence Melo kwa nn baadhi ya lincks ambazo hupostiwa hazifunguki? Nahis ungefanya kama whatsap ambapo post yenye linck au e mail adress au hata namba ya simu kujitokeza kwa chini. Hii itaturahisishia sisi waka5i wa kubonyeza. Piajf iplay media bila kutegemea brouer.
Mzee Mwanakijiji tangu alipounga juhudi mkono basi ile heshima alitokuwa amejihengea humu jamvini haipo tena, kwa sasa atakuwa anatumia zaidi ID nyingine kuficha aibu yake.
Mzee Mwanakijiji tangu alipounga juhudi mkono basi ile heshima alitokuwa amejihengea humu jamvini haipo tena, kwa sasa atakuwa anatumia zaidi ID nyingine kuficha aibu yake.