JF Scheduled Maintenance - October 2020

JF Scheduled Maintenance - October 2020

Kumradhi,

Kama utakuwa umenisoma vema, nimesema “wengine” ndo wanaowaita hivyo.

Kama nimemkwaza yeyote, naomba sana radhi
Mkuu Maxence Melo nilikuelewa juzi. Nadhani matumizi yako ya jina kipofu ilikua ni kuonesha unamaanisha wasioona ni watu wa aina gani.

Kwa upande wangu sikukwazika na matumizi katika muktadha ule. Ingawa MLUGURU pia yuko sahihi. Sisi huitwa wasioona.
 
Hapa pia Maxence Melo kwa nn baadhi ya lincks ambazo hupostiwa hazifunguki? Nahis ungefanya kama whatsap ambapo post yenye linck au e mail adress au hata namba ya simu kujitokeza kwa chini. Hii itaturahisishia sisi waka5i wa kubonyeza. Piajf iplay media bila kutegemea brouer.
 
Nipo kitambo ila jf ya zile enzi najiunga ilikuwa hot Mzizi alikinukisha sana humu. Mzee Mwanakijiji haonekani kabisa.
Mzee Mwanakijiji tangu alipounga juhudi mkono basi ile heshima alitokuwa amejihengea humu jamvini haipo tena, kwa sasa atakuwa anatumia zaidi ID nyingine kuficha aibu yake.

Yupo pia Pasco Mayalka Mzee wa kura moya.
 
Mzee Mwanakijiji tangu alipounga juhudi mkono basi ile heshima alitokuwa amejihengea humu jamvini haipo tena, kwa sasa atakuwa anatumia zaidi ID nyingine kuficha aibu yake.

Yupo pia Pasco Mayalka Mzee wa kura moya.
Duh alishaunga juhudi kumbe [emoji23][emoji23][emoji23] bwana mayala tunamfaham kitambo kua muda wa kuanika uanaccm wake wazi.
 
Back
Top Bottom